hawana squad....only 11 players akiumia mmoja timu inapotea kabisa,dalili natumaini mechi tano zilizopita
Akiumia De Gea wewe hata nafasi ya 10 hupati!!Kumbuka points 3 karibia zote mlizo shinda except na QPR na Hull ni De Gea kawapa!
Man U is one man team-De Gea
naamini hujawahi kumuona yule dogo kipa namba mbili akicheza.....
Kawa keeper namba 2 sababu hana uwezo kama wa De Gea!Namjua yule Lindergard(correct my spelling)!
De Gea kwa sasa ndiye kipa namba 2 kwa ubora duniani akishindwa tu na Emanuel Neaur wa Bayern!
Anawabeba lkn nyie hambebeki daaah
Kumbe eeeeehh basi De Gea ni mchezaji bora EPL.
Keeper bora,definitely!
Ila ni kweli yule dogo anajitahidi sana, tangu mwanzo wa msimu huu amkuwa akifungwa kwa makosa ya defence.
Nilimshuhudia akicheza kwa kiwango cha juu sana game ya Everton, Arsenal, Southmpton, Chelsea n.k
BR hakujiteua kuwa head wa committee, aliteuliwa. Na veto hakujipa, alipewa. Na kupewa uwezo huo is not BR's mistake. And that's my point. Someone higher up ought to have taken a firmer grip on things, which they didn't. Na ndiyo maana FSG hawawezi kumwajibisha BR. To me there's no one better than BR to take us forward but the big boys need to exercise some control, over and above.
Sitaki kuingia kwenye ubishi wa matukio yaliyojiri wakati wa usajili. Most of it is mere tabloid (or rather politely grapevine) stuff.
Hao established coaches uliowataja hawakufika hapo walipo kwa kuota kama uyoga.....walianza kama BR and a number of them a lot worse. Tuwe realistic.....FSG wanaweza kujikuta wanamtengeneza Prof Muhongo wao if they don't have someone to oversee checks and balances as far as BR's dealings are concerned. Am talking here as professional manager and honestly I have jot been impressed by these Yankees.
Nani alyemkataa LVG kuwa D.O.F mwaka 2012???
ni FSG au BR???
Nani alyemkataa LVG kuwa D.O.F mwaka 2012???
ni FSG au BR???
BR alisema akija LVG as D.O.F yy ataondoka
Bila De Gea wangelala 7-3 kwa Liverpool,5-2 kwa Everton,Wangelala kwa Arsenal,Wangechapwa na Chelsea na hata juzi Banteke angewachapa!
Kibaya zaidi akina RRONDO wanajidanganya kama wao ni wazuri
Nani ni bosi...FSG au BR??
BR ndo alikuwa "the only young manager" ambaye alikubali kuja kuifundisha LFC..(target za FSG zilikuwa ni kupata kocha kijana)
Akina De boer, Martinez wote walikuwa wamechomoa, kumbuka club ilikuwa kwenye crisis sana, ni makocha vijana wachache sana ambao wangekubali kuichukua team..
FSG knew kuwa kocha yoyote kijana, Ambaye atakuja, lazima awe na watu wazoefu kwenye club, thats why walikuwa washamtarget LVG kama D.O.F (baada ya comolli kutimuliwa)..lakin kocha ambaye alithubutu kuichukua Club (BR) akagoma kabisa kabisa kufanya kazi chini ya LVG, na Akatishia kabisa kutokusign mkataba kama LVG atapewa udirector...So FSG waliamua kumchagua BR over LVG, coz a Young manager ndo ilikuwa priority ya kwanza...na LVG hakupewa kazi!
BR ndo alikuwa "the only young manager" ambaye alikubali kuja kuifundisha LFC..(target za FSG zilikuwa ni kupata kocha kijana)
Akina De boer, Martinez wote walikuwa wamechomoa, kumbuka club ilikuwa kwenye crisis sana, ni makocha vijana wachache sana ambao wangekubali kuichukua team..
FSG knew kuwa kocha yoyote kijana, Ambaye atakuja, lazima awe na watu wazoefu kwenye club, thats why walikuwa washamtarget LVG kama D.O.F (baada ya comolli kutimuliwa)..lakin kocha ambaye alithubutu kuichukua Club (BR) akagoma kabisa kabisa kufanya kazi chini ya LVG, na Akatishia kabisa kutokusign mkataba kama LVG atapewa udirector...So FSG waliamua kumchagua BR over LVG, coz a Young manager ndo ilikuwa priority ya kwanza...na LVG hakupewa kazi!
Sasa tupo kwenye page moja. Another sign ya weakness ya FSG....walikuwa wamepoteza mwelekeo since day 1. No matter what, a smart employer or manager hawezi kuyumbishwa kwenye suala la msingi kama hili na a newly recruited staff.
Mnachokiita sasa "kiburi" alicho nacho BR kumbe kilikuwa hatched, nurtured and nourished by FSG wenyewe.
Narudia kusisitiza support yangu kwa BR.....si kwa sababu ni kocha bora on the land lakini ni kwa sababu he's the best that we CAN have.
Sikatai pia kuwa ninyi mnaompinga BR mnazo hoja za msingi. Lakini nisichokubaliana nacho ni kumwangushia jumba bovu BR pekee huku mkiinyamazia role ya FSG kwenye kadhia hii. Yanayoonekana sasa kwa BR ni matokeo tu ya inadequacies kwenye management philosophy ya FSG na bodi nzima.
Burnley (A)
Swansea (H)
Leicester City (H)...
9 pts...zote ni winnable!!!!!