Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

NIlikuwa siamini hii lakini jinsi gundu linavyozidi kusogea chumbani imani inaanza kupotea taratibu, ngoma droo

Mkuu kwanza hongera kwa kupata hiyo pointi moja leo. Pili, naona sijakuelewa hapo kwenye nyekundu, kwanza ulikuwa hauamini halafu baadae ukaanza kupoteza imani....hii imani inayoanza kupotea imetoka wapi wakati ulikuwa hauamini??!! Au ndio mambo ya kuchanganyikiwa?!
 
It is amazing huyu Ngog anafanya nini uwanjani wakati Babel hayupo hata kwenye bench?? Sasa walimnunua pauni mil 11.5 ili iweje?? Nashindwa kumuelewa Benitez.

Nadhani huyo anaonyesha dalili za ustriker zaidi (killer instinct) kuliko babel ambaye zaidi ya kukimbia na mpira jipya alilofanya toka aje, kwenye price tag hapo walichemsha na hivi vimbwanga vya twitter alivyofanya ndio havisaidii kabisaa
 
Nadhani huyo anaonyesha dalili za ustriker zaidi (killer instinct) kuliko babel ambaye zaidi ya kukimbia na mpira jipya alilofanya toka aje, kwenye price tag hapo walichemsha na hivi vimbwanga vya twitter alivyofanya ndio havisaidii kabisaa

Ngog amefunga magoli mangapi ukilinganishwa na Babel??
Babel ana kipaji zaidi kuliko more than half ya wachezaji wa KOP sema tu Benitez anashindwa kukitumia kipaji cha jamaa. Sasa kama hawamtaki si wamuache aende kwao??
 

Ahsante, sio kuchanganyikiwa, nilikuwa siamini kwamba huu ni mwaka wa shetani (maana kwamba niliamini tutaibuka upya baada ya kuteleza) lakini jinsi siku zinavyoenda ndio mambo yanazidi kwenda kombo
 
Premier League - Stoke deny Liverpool at the death
Eurosport - Sat, 16 Jan 14:47:00 2010

Robert Huth
scored a dramatic late equaliser for Stoke City as Liverpool let another two points slip in a 1-1 draw at the Britannia Stadium.
Sotirios Kyrgiakos
's first Premier League goal had looked to have given Rafael Benitez's much maligned side a valuable third successive Premier League victory but they were undone in the final minute in much the same way as they were against Reading in the FA Cup in mid-week.
After Huth's goal there was still time for Dirk Kuyt to plant a point blank header off the post in the sixth minute of stoppage time, before the referee finally blew for full-time.
The result means that Liverpool have now dropped more points so far in this campaign than in the entirety of last season.


---
Guyz, hii imekaaje?
The team is dropping points like hell.
What can this team hope for? Champs League spot/Fourth place at best?
With this trend, can Liverpool also miss even the Europa League spot next season?
 


Stoke walipopata goli la kusawazisha mnamo dakika ya 89.
 
wakuu nimeangalia mechi yote, tena nikiwa hoi na malaria... kwa kweli timu yetu inahitaji maombi. there was only one move gemu zima, zimepigwa kona 10 stoke na 0 liverpool... shame, shame, shame!!!!

i saw no flow, and then i remember when Salif Diao, Djimi traore, igor biscan, speedy, smicer, finnan and other mediocre players winning us the CHAMPION LEAGUE

Nimekuja kuconclude kwamba liverpool wameshapoteza motivation ya kuvaa ile jersey!!! there is no drive whatsoever and that to be honest has been generating slowly, with Rafa as the originator

Amekuwa anacreate negative atmosphere consistently na imeshaharibu timu!!!

sadly viongozi wanaogopa kupoteza 12-15M pounds lakini hawajui madhara yake ni kupoteza Torres, Gerrard and Reina... shit!!!

Ningepata nauli, ningewaambia yankees wamweke Rafa kwenye three months compassionate leave maana ana huzuni ya kutolewa makombe yote na kuweka Daglish na little Sam hadi May halafu Hiddinks can take it from there

Gamedu we re not walking alone, but we are heading into the tunnel
 
Usijali refa kawanyima penati mbili. Ingekuwa Chelsick au Manure wangepewa.

 
It is amazing huyu Ngog anafanya nini uwanjani wakati Babel hayupo hata kwenye bench?? Sasa walimnunua pauni mil 11.5 ili iweje?? Nashindwa kumuelewa Benitez.

Ukishangaa ya musa utayaona ya firauni, benchi lina 20M pounds midfield wakati Lucy (Lucas) anacheza cinderela uwanjani... halafu 1.5M striker (Ngong) wakati 11.5M quid striker amekaa home anachezea play station... Jamaa kamnunua robbie keane kwa 20M halafu kauza kwa 12; Kamnunua Crouch kwa 12, kauza kwa 7, Kamnunua dossena kwa 6, kauza kwa 3.5

Its a time now Rafa should stop sulking and take Lucy with him to Recreativo Le Huerva

Fvck Rafa cry baby tactics
 

Subiri MTM aje uone atakavyomtetetea Rafa. Benitez sucks period. Hatuwezi kutembelea historia, Asavali wamchukue Hughes
 

Well said.

Another thing is that our opponents pray that Benitez stays, so Liverpool can cease to be a top club.

I have my friends who are Manure, Arsenal & Chelski fans, and nowadays laugh at the Mighty Reds, saying their teams' best asset against Liverpool is Benitez!

The fat waiter has to go.
 
hivi kuna sababu yoyote ya kumweka Benitez liverpool?na je kwanini hawaiuzi club kwenye watu wenye pesa?kuna watu kibao wanataka kuinunua ila huwezi amini jamaa wanaiacha cub inakufa afu hakuna hata mabasdiliko mpaka inakera.
 

Che,

our rivals are absolutely right, their best asset ni Rafa, Rafa is his own emeny.. I am one of his admirers, but we have to be realistic, hata kama unampenda mtu vipi, huwa kuna elastic limit, he has put me there as far as liverpool is concerned

Gerrard is off to madrid, they dont have attacking midfielder, sadly he will be joined by Rafa...

Trust me, if we change the manager now, its going to be a disaster, lakini kutokana na current situation, let it be!!!

Lets see who else will put his cards to buy the kops maana tunakua kama newcastle
 
Ryan Babel's future remains a hot topic in the morning papers, with the Liverpool winger now being linked with Ajax, Fiorentina and Galatasaray. Sunderland Birmingham are already known to be interested in the Dutchman.

Sunderland boss Steve Bruce insists he has no intention of sanctioning a swap deal involving Kenwyne Jones and Liverpool winger Ryan Babel.


Duh! kazi ipo mana Benitez anataka kuswap Babel kwa huyu power mabula.....!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…