Mhhh!! Mtibwa Wameingia fainali mpendwa....tuombe simba tu nao watie timu....
Unakuja kwenye thread yetu unaanza kututusi bila sababu za msingi!
Hauna hoja kwa kweli!
Hahahaha!!! Loh! Bora umepona usawa huu ungevunja kiuno mbona nomaa.....
Leiva yupo poa Sana in recent weeks
Wapi nimekutusi chifu wangu?!
Jamani huyu suso ni majeruhi ama? Mwenye taarifa anijuze, naona hata benchi wanawekwa watu wa ajabu hata siwaelewi
Lazar markovic