Kwa kiasi nakubaliana na wewe. Lakini nikikumbuka Wayne Rooney alipotaka kuondoka Manure huku kiwango chake kikiwa kiko chini, Grazers walimpa mkataba mpya ulioboreshwa. Why? Kwa vile walijua over a period of time he had been and was going to be their top player.
Ni msimu uliopita watu tulikuwa karibia kumwita huyu dogo "a legend in the making" na hatukukosea kwani mwisho wa msimu alikwaa personal award hii hapa...
Liverpool star Raheem Sterling receives European Golden Boy award at Anfield after pipping other youngsters to honour | Daily Mail Online
Rooney alipitia route hii hii (soma hapa...
Golden Boy (award) - Wikipedia, the free encyclopedia), became a pivotal player and the OT hierarchy saw that and accordingly granted his wish for a pay rise alipotishia kuondoka, hii ni kwa vile waliona umuhimu wa kutengeneza stability kwenye timu and also to show the world how the club valued its important assets.
At the minute, Raheem is one of our best players by a mile. He's just currently going through a patch of inconsistency (just like what happened to Rooney then) but he's a class act and will come good.
Huwaga sipendi kutumia success stories za mahasimu wetu wa jadi (Manure) lakini kwa hili tunalo la kujifunza on how to cling to our best assets.
FSG must step in now kumpa huyu dogo pochi lake, and fast. Otherwise let the bottomless pockets za Waarabu zichukue timu. Mimi I have had enough of these useless Americans!!