Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sijapata kuicheki game ya leo wala highlights zake katika pitapita yangu nikakutana na hii comment kuhusu DS

"right footed shot from a
difficult angle on the right to the bottom
right corner"

Inaonekana lilikuwa bonge la goli...!
 

Attachments

  • 1422734914569.jpg
    27.3 KB · Views: 91
On this day 2011 LFC signed Suarez for £22.8m and Caroll for £35m while selling Torres for £50m
 

Attachments

  • 1422735387000.jpg
    21.6 KB · Views: 95
Leo tulikuwa na game nzuri kuanzia kipindi cha kwanza ila tulikosa mtu wa ku-capitalize zile chances tulizopata kwenye first half ambazo Markovic hakuweza zitumia.

Sakho, amefanya kazi katika ubora wake kabisa aliweza kumdhibiti Carroll kwenye mipira ya juu defensively alikuwa vizuri sana nadhani pengo lake lilionekana kwenye game ya marudiano na chelsea. With Sakho in the first line up hatuconcede goal from set pieces.


Henderson, alikuwa na game nzuri ila sidhani kama ni right man who can take set pieces, he has to improve his shoot quality maana kuna chances kama mbili alitengewa alimrenga keeper, he offers running energy in the midfield.


Countinho, Our little magician alikuwa Man o the match with two assist ana sublime performance kwa jinsi tunavyomtegemea kama opponents wetu wakiweza kumkeep off the game tutastruggle kupata ushindi he's the only attacking midfielder mwenye brain pale, lallana is not at his best


Sterling alikuwa vizuri sana leo, angekuwa na performance kama hii kwenye previous games angekuwa na magoli mengi.


Lucas Leiva, bado nasubiria ile partnership yake na Can


Mignolet, good performance kutoka kwake kama alivyofanya kwenye games vs chelsea anaanza kugain faith na support

BR itabidi atafute njia za kumfanya Sturridge asipate majeraha maana kagoma kuleta Striker anaeendana na timu
 
Emre and Sakho wamemsaidia sana Skertel kuwa stable,

Ila kwa leo nadhani Emre ndie alikua na jukumu la kumzuia Carroll but Carroll was changing positions (na Valencia) so both Sakho and Emre got involved

Lucas, Emre, Sakho na Skertel wamefanya kipa awe na confidence sana hasa kwenye kona na freekicks
 
Sijapata kuicheki game ya leo wala highlights zake katika pitapita yangu nikakutana na hii comment kuhusu DS

"right footed shot from a
difficult angle on the right to the bottom
right corner"

Inaonekana lilikuwa bonge la goli...!

Dan kwa kweli daaah!Mm nilijua anatoa pasi kwa ndani ingawaje hakukuwa na mtu kati!Alichokifanya sisi tunaita difficult angle nikaona tu nyavu zinatingishika!

Hata Keeper Adrian alijua Dan HAPIGI
 
Sakho mzuri sana anajua kusimamia nafasi yake na anajiamini,jamaa game ya leo alicheza vizuri
 
ha ha ha so far best defence
1.southampton
2.chelsea
3.man utd.....yes man utd
4.man city
5.arsenal

so far ndio wamefungwa goli chache kuliko liverpool
hongereni kwa ushindi leo.

Toka aanze kucheza Sakho tuna clean sheet nyingi zaidi ya team yyt ile
 
Last season mlivyokuwa mnamponda Sakho mfululizo humu niliwaambia just wait..a man is an iron...na nikadeclare kabisa how I adore Sakho,nadhani kina MosDef watakuwa wanakumbuka! It's very unlucky hata BR akafuata mkumbo wa pundits na kuamua kusajili LCB,hakukuwa na haja kabisa,we had two CB in Agger na Sakho,ile pesa ya lovren,plus Baloteli tungepata Bonge la striker wa kumsaidia Dan pale mbele.
 
Last edited by a moderator:
Dada naona leo mmeokota pochi haina mwenyewe Ubungo terminal!

Hongereni sana

hio pochi isiokuwa na mwenyewe ulishindwa kuiokota sebuleni kwako....sisi tumeiokota UBT nani mjanja???
 
kuna huyu dogo Ibe,after two years atakuwa matata sana sana! He's superb...akiwepo uwanjani dakika 5 tu,lazima utanotice uwepo wake,dogo ana pace,nguvu,techniques...yaani kwa uwepo wa Ibe,nadhani BR was right to let SUSO go! Let's be honest wadau..Suso angecheza namba ya nani pale? Ibe atakuja kuwa mzuri sana,zaidi hata ya Sterling...
 

Angekuwepo Agger yaani hata pengo la SG lisingetuuma kabisa!Agger namlilia kila siku

Agger anashangilia Liverpool kila mchezo ukimalizika!Agger kakataa offer ya teams yyt ambayo ina probabilities ya kuja kucheza na sisi

The truly Son of Meyseyside
 
Last edited by a moderator:

Ibe akicheza mfululizo games 5 tu anaitwa team ya Taifa!Mtoto anaujua sana huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…