Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Delph HAWEZI hata nusu kuziba pengo la SG
kweli kabisa, hana hata drive ya kubadili game
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Delph HAWEZI hata nusu kuziba pengo la SG
Sterling 20 years old. Ibe 19. Markovic 20. Can 20. Moreno 22. Coutinho 22. Henderson 24. Sturridge 25. Balotelli 24. Borini 23. Maquinllo 19. Origi 19. Sakho 25. Liverpool have a very young squad. Huge potential.
Game ya Bolton kwenye mid-week, lazima Allen aanze Aisee...
Huwez ukamuanzisha Lucas wakat tuna Everton weekend ijayo..
kwa hapo siwez kumlaumu BR kabisa..
TOP FOUR ndo main priority..tuna Everton, Spurs and Southampton mwez wa pili..
kwa heshima na taadhima mkuu naomba umwondoe Bolotele kwenye list, hawezi temple ya Liverpool
hivi with Ibe, Texeira, Sterling na Studge... bado BOLLO ana nafasi?Dont count Balo off!Tumpe nafasi acheze na Dan maana mechi na Tots alicheza vyema sana sababu Dan alikuwepo
Dan anaweza kupangua akampa thru na Balo anajua kufunga
Game ya Bolton kwenye mid-week, lazima Allen aanze Aisee...
Huwez ukamuanzisha Lucas wakat tuna Everton weekend ijayo..
kwa hapo siwez kumlaumu BR kabisa..
TOP FOUR ndo main priority..tuna Everton, Spurs and Southampton mwez wa pili..
Wasi wasi wangu ni yeye kufanya ivyo katika epl games, mipango ya BR ni kuondoa kizazi alichokikuta na kuweka cha kwake, uyu Lucas ilikua chupuchupu awafate wakina Agger na Reina
hivi with Ibe, Texeira, Sterling na Studge... bado BOLLO ana nafasi?
I'd rather cut my losses and move on
Game ya Bolton kwenye mid-week, lazima Allen aanze Aisee...
Huwez ukamuanzisha Lucas wakat tuna Everton weekend ijayo..
kwa hapo siwez kumlaumu BR kabisa..
TOP FOUR ndo main priority..tuna Everton, Spurs and Southampton mwez wa pili..
Reina alijitakia mwenyeweNaweza kuwa na remorse kwa hao wengine ila siyo Reina, unakumbuka alivyoondoka kwa mkopo kwenda Napoli alijua atanunuliwa jumla akafanya mambo kama ya Torres.
Lovren na Balotelli walikuwa ni panic buy. Hatukuwa na haja ya kumnunua Lovren wakati tulikuwa na Illori ( trust me huyu dogo anaweza sana na anaweza cheza kama defensive midfielder),Coates kwa umri wao kama wangepata playing time ya kutosha wangekuwa na impact kubwa sana.
Mi naona tunaangaika kutafuta mrithi wa SG ila yupo pale pale Anfield na anachezeshwa kama beki Emre Can, his commanding presence ni huge kwenye timu. Siku akianza kwenye midfield utaona effectiveness yake kama ya kwenye game ya Madrid na Chelsea.
MB needs time!!!!
He had his time
Reina alijitakia mwenyewe
Mrithi wa Gerrard anatakiwa awe kroos,
Reina was forced OUT!!!
Then alipotolewa kwa mkopo akasema he is going to work with the best manager,ikamuuma BR
Bolton Allen na Lovren waanze!Keeper awe yule dogo na tunawatoa tu
Mbele aanze Balo na Lambert
Daaah! Huu mwezi haujakaa vizuri...
WED 4
BOLTON VS LIVERPOOL
SAT 7
EVERTON VS LIVERPOOL
TUES 10
LIVERPOOL VS TOTTENHAM
SAT 14 (Kama tukipita kwa Bolton)
CRYSTAL PALACE VS LIVERPOOL
THUS 19
LIVERPOOL VS BESIKTAS
SUN 22
SIUTHAMPTON VS LIVERPOOL
THUS 26
BESIKTAS VS LIVERPOOL
Luckily, we now have bigger squad compare to the last season...