Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ojo anaenda on Loan Wigan..

Skysports wanasema West brom are trying kuhusu a loan deal for Rickie Lambert...
 
Naweza kuwa na remorse kwa hao wengine ila siyo Reina, unakumbuka alivyoondoka kwa mkopo kwenda Napoli alijua atanunuliwa jumla akafanya mambo kama ya Torres.


Lovren na Balotelli walikuwa ni panic buy. Hatukuwa na haja ya kumnunua Lovren wakati tulikuwa na Illori ( trust me huyu dogo anaweza sana na anaweza cheza kama defensive midfielder),Coates kwa umri wao kama wangepata playing time ya kutosha wangekuwa na impact kubwa sana.


Mi naona tunaangaika kutafuta mrithi wa SG ila yupo pale pale Anfield na anachezeshwa kama beki Emre Can, his commanding presence ni huge kwenye timu. Siku akianza kwenye midfield utaona effectiveness yake kama ya kwenye game ya Madrid na Chelsea.

Reina hakua na shida na LFC wala fans wake kama Torres, shida ilikua kati yake na BR tu pale aliposema anaenda Napoli kucheza chini ya kocha bora anaelewana nae (Rafa). Ila alipotamka hivyo ye alishajua kua hatorudi LFC ndio maana barua yake kwa LFC supporters alisema hajui kama atarudi kucheza LFC. Sasa aliposhindwa kununuliwa uko akarudi ndipo BR alipomkomoa, maana alimpiga bench hadi mechi za pre-season

Sometimes BR ni mgumu mno aiseee
 
Liverpool hopeful of Ings deal as Burnley deny Sociedad interest
Dominic King: Liverpool are hoping to agree a deal with Burnley for Danny Ings that avoid the need for a tribunal when his contract ends. Ings is wanted by Real Sociedad but Liverpool are firm admirers and want to come to an agreement with Burnley.
Chris Wheeler: A little more on Danny Ings and speculation that he has signed a pre-contract to join Real Sociedad in the summer.
Burnley sources insist they know nothing about the deal and wouldn't need to because Ings is free to talk to foreign clubs.
The fact is that Burnley have already made the decision to keep Ings for the rest of the season and have known for some time that he will not sign a new deal at Turf Moor beyond that.
It still seems odd that they are being so detached about the prospect of Ings going to Spain, however, because he is likely to cost English clubs £3million in compensation in the summer compared to the £200,000 Sociedad would have to pay.


 
Daaah! Huu mwezi haujakaa vizuri...

WED 4
BOLTON VS LIVERPOOL

SAT 7
EVERTON VS LIVERPOOL

TUES 10
LIVERPOOL VS TOTTENHAM

SAT 14 (Kama tukipita kwa Bolton)
CRYSTAL PALACE VS LIVERPOOL

THUS 19
LIVERPOOL VS BESIKTAS

SUN 22
SIUTHAMPTON VS LIVERPOOL

THUS 26
BESIKTAS VS LIVERPOOL

Luckily, we now have bigger squad compare to the last season...

Just hoping kwamba form ya liverpool itaendelea hvo hvo +pace ya maana na goal scoring mbna hizi games tutashinda tu,

Tunafahamu BR likes tiki-taka with pace like you have mentioned lakini kwa upande wangu ningependa kuona time to time our team changes the tactics by containing and expose the opponents wanapokua wamejisahau.

Kama tutatumia pia mbinu ya kucheza calmly watu kama Kolo, rickie, jose, Mario, Manq, Allen, rossiter...watapata game time na wachezaji wenye kutegema speed will have time kupumzika ili kuepuka majeruhi.

Hiyo michezo ilivyokaa iko very tricky kutokana either mfumo wa mashindano au uchezaji wa timu pinzani au umuhimu wa mchezo wenyewe. Physical game imekuwa ikitutatiza na Bolton will try their luck on that na kujaribu walichokifanya WHU. It was obvious that andy aliamua kutumia nguvu nyingi kuliko akili ndiyo maana he was flying his elbow to every Liverpool player who was near to him. Na matokeo yake alikuja kuumia mwenyewe huku dhumuni likiwa ni kumchezea foul emre. Na tukichezeshwa na refa kama marriner then tutegemee kutokupata decisions tunazostahili.

Against Everton is the derby na hapo mara nyingi tibua tibua ni nyingi kuliko ufundi. Vurumai, kadi nyekundu na majeruhi ni rahisi kupatikana. Ukiweka hayo kando ushindi ni lazima, siyo tu kwaajili ya kutusogeza kwenye top 4 bali pia heshima mjini

I expect gemu yetu na Totten kuwa nzuri yenye kufunguka ila until that day wachezaji wetu watakuwa wanacheza gemu tatu ndani ya siku saba! Sitoshangaa kuona stamina ikiwa kwenye kiwango cha chini na huku upande mwingine naona kama gari la totten nalo limechanganya

Kwa kuwatoa Soton kwenye uwanja wao wa nyumbani haukuwa kazi rahisi na sote tunafahamu kilichotokea last season tulipocheza pale Selhurst Park. Jamaa hawatabiriki

Since style ya michezo ya EUFA appear to be different to local cups and league. Plus BR does not have enough experience of the particular tournaments, it’s going to be a big challenge for him to translate and manage the system of play from FA to BPL and BPL back to FA then BPL to EUFA back to BPL then EUFA. He has to be very analytical

I hope to see a good game against Soton even though I think the system of play against them might be determined with the kind of results we got on 19th results
 
Rodgers: It'll be a quiet end to window

Rodgers told reporters at Melwood: "We'll be very quiet. I said at the beginning of the window, we were looking to keep all the players here, so it'll be a quiet window for us.

"With the group of players we have - and obviously the market dictates it as well - I am happy with how the team and the squad is developing and between now and the end of the season we'll look to continue with that improvement.

"We would want to keep all the players here."

"It depends on the moment you're in as a team - last year, we didn't do any business either," continued the manager. "Unless there is something that is there that you believe can really add to your squad of players.

"Certainly, from my perspective, I don't like to stockpile players. I'd rather look at our young players in the Academy and see if we can bring them through.

"That was the case this window with young Jordon Ibe, who has been excellent away at Derby. We needed another player to come into the squad in that area, so rather than looking to bring in a more senior player, we've got young players that were developing here very well. Jordon has come in and looked fantastic since he's been back at the club.

"That's the first thought - look from within. Of course, you always have to look for that star quality and if it's not available, you work with what you've got."
 
Reina hakua na shida na LFC wala fans wake kama Torres, shida ilikua kati yake na BR tu pale aliposema anaenda Napoli kucheza chini ya kocha bora anaelewana nae (Rafa). Ila alipotamka hivyo ye alishajua kua hatorudi LFC ndio maana barua yake kwa LFC supporters alisema hajui kama atarudi kucheza LFC. Sasa aliposhindwa kununuliwa uko akarudi ndipo BR alipomkomoa, maana alimpiga bench hadi mechi za pre-season

Sometimes BR ni mgumu mno aiseee
Reina made a silly mistake, amevuna alichopanda

BR anaboa lakini kama wewe ni professional, kamwe usitukane bosi wako hata kama ni mpuuzi...
 
Ings is forcing a move to LFC

please GOD fanya deal hii ife ffs..
 
Barret saying Aston Villa wameulizia kuhusu lambert...
 
Hahahahahah!!!

BR too, praising SAKHO!!!

Mpira bwana!!!
 
Typical LFC fans..
ImageUploadedByJamiiForums1422891645.442568.jpg
 
Back
Top Bottom