Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy birthday to Sakho who turn 25 today
WTF!!!??? United deal is worth 750m quids; Loserfools' is 300m quids!
Na hiyo breakdown ya hiyo £ 100m kwa mwaka kajitungia tu, labda atoe link inayotoa huo mchanganuo. Maana nilizoziona hazisemi hayo.
"The multi-year partnership has become the biggest kit supplier deal in the club's history, with New Balance - one of the world's major sportswear manufacturers - responsible for designing the Reds' strips and training apparel."
Hiyo ni quote kutoka
LFC announce record New Balance kit deal - Liverpool FC
Nyiye mna shida aisee...
liverpool tuna kila sababu ya kuwa piga hawa palace... Katika game ya Leo..tho tumecheza mechi ngumu mfululizo ila na Imani kubwa kwa game ya Leo tutashinda..... Mdau mmoja atusaide kuchambua game ya Leo wadau....
Happy birthday to Sakho who turn 25 today
brendan rogers kaonekana roma, je ndo plan ya kumleta pjanic???
League table doesn't lie....long ball football kumbe inalipa sana
Southampton and westHam, walipata kuwa katka 3rd place pia kipind flan..
But table doesn't lie though!!!
Mswahili huyo, anaweza akawa katupiga Kamba MIAKA...
LOL!!!
That means walikuwa wanafanya vizuri wakati huh...in fact Southampton mpaka sasa wanafanya vizuri zaidi yenu. League table doesn't lie.
Hahahaaaaaa tumpe muda maana Essien mwili wake ulikujakukataa kabisa kucheza
pjanic!!!!!!!
LIVERPOOL FC in 2015 [EPL]
1. Unbeaten team in 2015
2. Team with Most Points in 2015
But southampton are still a better team than Us!!!!???
Typical busby stuff!!!