Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

when i saw Lovren ... nikaanza kucheka

Jamaa ana kimavi kuliko m@vi yenyewe... LOL
 
2620534E00000578-2970765-image-a-46_1424979225319.jpg
 
Hii nafasi kama uyu mtoto angekaza mguu ilikua goli, maana ni ndani ya boksi
262006A500000578-2970765-image-m-26_1424976168121.jpg
 
Poleni sana...ila mwakani mtarudi tena Europa..

Mkubwa hapo una maanisha nini kuwa mwakani watarudi tena?

Poleni sana liver kwa kutolewa
Pazi sisi sote ni ndugu acha kuwa unajificha ficha
 
Last edited by a moderator:
Lawama zangu mi kwa BR na sturidge lovren ni bahati mbaya tu...wala ata secobd half atukutakiwa kufika hii game iilishaisha mapema kbsa.!!
 
To be honest,nilitaka sana tutoke kwenye mashindano haya na thanks god tumetoka,hebu angalieni idadi ya majeruhi tulionao,angalieni fixtures za EPL,kwa timu yetu hii tusingefika popote,sanasana tungeendlea kutengeneza majeruhi na huku ligi inaelekea mwishoni,sasa hivi at least wachezaji watapata recovery time,watajiandaa kwa game moja kwa wiki,etc. SiYAPENDI Mashindano ya EUROPA LEAGUE kwa sababu yanachezwa AlHaMis
 
To be honest,nilitaka sana tutoke kwenye mashindano haya na thanks god tumetoka,hebu angalieni idadi ya majeruhi tulionao,angalieni fixtures za EPL,kwa timu yetu hii tusingefika popote,sanasana tungeendlea kutengeneza majeruhi na huku ligi inaelekea mwishoni,sasa hivi at least wachezaji watapata recovery time,watajiandaa kwa game moja kwa wiki,etc. SiYAPENDI Mashindano ya EUROPA LEAGUE kwa sababu yanachezwa AlHaMis

Tukikaa vibaya hata top4 itapeperuka
 
To be honest,nilitaka sana tutoke kwenye mashindano haya na thanks god tumetoka,hebu angalieni idadi ya majeruhi tulionao,angalieni fixtures za EPL,kwa timu yetu hii tusingefika popote,sanasana tungeendlea kutengeneza majeruhi na huku ligi inaelekea mwishoni,sasa hivi at least wachezaji watapata recovery time,watajiandaa kwa game moja kwa wiki,etc. SiYAPENDI Mashindano ya EUROPA LEAGUE kwa sababu yanachezwa AlHaMis

mkuu hupendi timu yako ikibeba kombe sio...pia vilevile kumbuka ueropa lig ni moja ya njia ya kufuzu champions league endapo mngebeba hlo kombe ilhali kwny top four hakueleweki
 
Dah fans wao walikamia kuzidi wachezaji wao eti "Welcome to Hell"
261FD89F00000578-2970765-image-a-15_1424975258647.jpg
 
Back
Top Bottom