Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lawama zangu mi kwa BR na sturidge lovren ni bahati mbaya tu...wala ata secobd half atukutakiwa kufika hii game iilishaisha mapema kbsa.!!
To be honest,nilitaka sana tutoke kwenye mashindano haya na thanks god tumetoka,hebu angalieni idadi ya majeruhi tulionao,angalieni fixtures za EPL,kwa timu yetu hii tusingefika popote,sanasana tungeendlea kutengeneza majeruhi na huku ligi inaelekea mwishoni,sasa hivi at least wachezaji watapata recovery time,watajiandaa kwa game moja kwa wiki,etc. SiYAPENDI Mashindano ya EUROPA LEAGUE kwa sababu yanachezwa AlHaMis
To be honest,nilitaka sana tutoke kwenye mashindano haya na thanks god tumetoka,hebu angalieni idadi ya majeruhi tulionao,angalieni fixtures za EPL,kwa timu yetu hii tusingefika popote,sanasana tungeendlea kutengeneza majeruhi na huku ligi inaelekea mwishoni,sasa hivi at least wachezaji watapata recovery time,watajiandaa kwa game moja kwa wiki,etc. SiYAPENDI Mashindano ya EUROPA LEAGUE kwa sababu yanachezwa AlHaMis
sijaona sababu ya kumtoa Balotelli alaf sturdge aka baki ttzo kuna uingereza kwenye hii team.