Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

11044622_10153264942962573_5081432754613937192_n.jpg
 
Mpo hivyo mkuu. Mkiprioritie kucheza attacking football mnapoteza unity yenu.Hamchukui risk nyingi kushambulia timu. Ndio maana hampotezagi mechi nyingi. Ni mara chache utakayoona Chelsea wanacheza kama walivyocheza Liverpool. Ukiondoa Hazard na maybe Cesc wachezaji wengine akili ipo defending.



Sasa kwa wagonga nyundo ndo tukacheze kwa kujilinda au vp? Chelsea iko tofauti ktk huu ujio wa pili wa Jose hawapaki basi sn vile ni timu ambayo inacheza mpira ambao unapendeza kutizama sio km miaka ile...

Leo utaona mpira safi sn na ninafikiri utakuja kuniambia hapa baadae.
 
Nami wala sijaichukulia ubaya...nimeongea kwa kuwa kuongea ni kawaida kwa mtu anayeweza kuongea, au siyo?

Mimi nimeshaweka bet na mloserfool Malafalye...na naweka na maloserfool wote humu sasa kwa kuweka hela, nyiye hata msiweke chochote..

Liverpool ikamaliza juu ya United msimu huu, licha ya kupigwa ban ya mwaka mzima kwenye jukwaa la United, nitawapa washabiki wa Liverpool US$ 100 wa jukwaa hili

Hivi manchester yako huwa unaiangalia huku umefumba macho nini????

Asa ile nayo ni TEAM ya kutunishia watu Kifua????
 
Nami wala sijaichukulia ubaya...nimeongea kwa kuwa kuongea ni kawaida kwa mtu anayeweza kuongea, au siyo?

Mimi nimeshaweka bet na mloserfool Malafalye...na naweka na maloserfool wote humu sasa kwa kuweka hela, nyiye hata msiweke chochote..

Liverpool ikamaliza juu ya United msimu huu, licha ya kupigwa ban ya mwaka mzima kwenye jukwaa la United, nitawapa washabiki wa Liverpool US$ 100 wa jukwaa hili

Sawa mkuu tumekusikia vyema sana
 
Sasa kwa wagonga nyundo ndo tukacheze kwa kujilinda au vp? Chelsea iko tofauti ktk huu ujio wa pili wa Jose hawapaki basi sn vile ni timu ambayo inacheza mpira ambao unapendeza kutizama sio km miaka ile...

Leo utaona mpira safi sn na ninafikiri utakuja kuniambia hapa baadae.

Mpira wa kupendeza kwa kupanga defensive minded midfield wawili wawili kila mechi Matic, Ramirez, mikel,Willian. Willian kabla ya kuhamia Chelsea alikuwa very attacking minded Jose kam-badili na kuwa false Defensive Mid. Nakubali kuna tofauti kati ya Mourinho 1 na Mourinho 2.
 
Hivi manchester yako huwa unaiangalia huku umefumba macho nini????

Asa ile nayo ni TEAM ya kutunishia watu Kifua????

EPL table doesn't lie chief...na ilikupiga 3 nil ikiwa shaky shaky...
 
Mie mpaka hapa tulipofikia kwenye msimu huu kama kuna Manager ambaye anastahili kupewa tuzo ya kuwa Manager of the year basi ni Brendan Rodgers. Jinsi Liverpool walivyoaanza vibaya msimu huu na kuwepo katika nafasi waliyofikia leo hii jamaa anastahili pongezi nyingi na sitashangaa kama wakiwemo katika tatu bora.
 
Back
Top Bottom