Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Blah blah blah....
Stats don't lie chief....
Re nzi: hapo ndipo akili yako ilipoishia kuhusu mdudu nzi?!? Unapokunywa fanta au bia; na unapokula chakula, vinakuwaga na fecal matters mpaka nzi avutiwe navyo? Yaani wewe unapomwaza nzi unawaza mavi tu?!?
I think we should give Brendan Rodgers credit... He is turning things around and his plans are working really well kwa sasa
Imagine we didnt have Studge for over 75% of the game and didnt even miss him that much
Hongera sana mtani kwa ushindi wa jana nilikutafuta sana hukutokea umekuja mwishoni.
Hahaah asante mtani
Nilikuwepo humu kusifu yale magoli yetu hatari ambayo mpaka sasa hakuna timu inayoweza kuyalipa na kumsifu BR kunifanya siku hizi natamba tu barabarani bila wasi
Nikajua hutakuja jukwaani kwetu maana siyo muda ile nafasi tunaichukua. Umejiandaje kwa hili mtani?
Blah blah blah....
Stats don't lie chief....
Re nzi: hapo ndipo akili yako ilipoishia kuhusu mdudu nzi?!? Unapokunywa fanta au bia; na unapokula chakula, vinakuwaga na fecal matters mpaka nzi avutiwe navyo? Yaani wewe unapomwaza nzi unawaza mavi tu?!?
Mtani Mimi toka jana mechi ianze nilikuwa humu waliposawazisha City na kuna wakati mlikosa magoli mengi nikakutafuta basi nikaona kimya nikajua mtani wangu presha imepanda....
Kwahilo mtani sina mashaka najua halitatokea na huyuhuyu LVG wangu mwenye falsafa ngumu tutavuka ........
Waaaaaao