Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mr. Wise usichanganye Mambo Hapo Mkuu!!!!

LFC iliingia kwenye Market kabla ya WC Mkuu, Lallana, Lovren, Moreno, Emre Can wote tulianza nao Kabla ya WC (negotiation na Clubs zao)..

Target Kubwa ya BR as LS7 replacement ilikuw ni Di Maria na Pedro (sana sana Di Maria)..msome Tony Barret vizuri..Di maria rejected us, coz alihisi atapewa mkataba mpya na Madrid, na hii ilikuwa ni kabla ya kombe la dunia, then BR decided kuOpt kwa Pedro, ambapo aliambia Only Febregas ndo anapatikana, kipind hicho Ishu ya Sanchez ilikuwa bado Haijawa clear, BR hakuwa na issue na Fabregas, kama unakumbuka BR alikuwa anatafuta mchezaj wa kutokea Pembeni, then baada ya kombe la Dunia kuanzia, ambapo Wenger alikiwa Brazil kama pundit, rumours zikaanza kuwa Wenger kakutana na Sanchez Brazil, baadae ikaja kuonekana wenger alikutana na Agent wa Sanchez pia (watu wakafikiri ni Rumours tu za kawaida)..but baadae zikawa kweli ni kwa Arsenal na Juve ndo clubs za kwanza ambazo ziliongea na Sanchez, na Juve ndo ilikuwa team ambayo Sanchez anataka kwenda, kilichowashinda Juve ni fee, then baada ya Ishu ya Suarez kwenda Barca kuhot Up, FSG demanded £75m, barca wakasema hawana, BR asked for pedro again, JE akachomoa kuhusu Pedro, tena safar hii akaambiwa Fabregas na Sanchez ndo wanapatikana, hapo BR akaopt kwa Sanchez, which ilikuwa ni late tayar, coz Wenger alikuwa anasubiri kubid tu, Na Tony Barret hata James pearce wanasema Sanchez hakupenda idea ya kuwa mchezaj wa mabadilishano, but hicho kilikuwa ni kigezo kidogo sana, Nakumbuka Mpaka mwisho Juve walijitoa zikabaki Arsenal na LFC, baadae Sanchez aliporud Spain, BR aliomba kuongea nae, Agent wa Sanchez akasema tayar tushachelewa coz kulikuwa na makubaliano na Arsenal (zilikuwa ni tricky za Agent ili kuendelea kusikilizia mshahara wetu) na alichokuwa anakitaka Sanchez kutoka kwa LFC ni offer ya mshahara tu, ambapo we offered the same kama Arsenal, Na mida ya saa 12, Ben Smith wa BBC akareport kuwa "liverpool have all but given up on Sanchez"...na ni baada ya kushindwa kumconvince katka wages!! NA UKWELI NI KWAMBA SANCHEZ's PREFERED DESTINATION ILIKUWA NI JUVENTUS, sema tu Juve walishindwa kuiconvince Barca kwenye fee.

Usiku, Ule ule akina James Pearce, Tony barret na Neil jones wakatumwa waje kureport kuwa "sanchez kachagua Arsenal kwasababu ya Grographical factors" kwamba girlfriend wake alitaka kuishi london (huyo demu wake mwenyewe wameachana sahiv)...

Hizo ulizozitoa hapo, ni interviews baada ya kumkosa Sanchez, we needed atleast a proven player baada ya kuondoka LS, ndo maana BR aliulizwa hayo Maswali, na ni majibu ambayo kila Kocha angeyajibu!!!!

Moreno, tulianza na Seville kufanya Negotiations kabla hata ya WC, lakin deal yake imekuja kukamilika karibia mwisho wa Transfer Window...

Kama unafatilia Presser za BR, utajua kuwa hakuna kitu kilichomuumiza na kumkera BR kama kumkosa WILLIAN kipindi kile, aliwafungukia mpaka FSG kipind kile, Na hii ni baada ya kumkosa MK..

Alex Ferguson, Was once quoted akisema "Steven Gerrard is one if the Best midfield in the World" usingetegemea hayo maneno kutoka kwa Fergie..

So BR kumsifia Sanchez, it doesnt mean kwamba alikuwa anamtaka saaana, Coz hata wakat yupo Swansea Alishawahi kumsifia sana MB (quotes zake nilishawahi kuziweka humu)..

Kuhusu LFC NEWS hawa ndo LFC reliable Local Journals (wanatumwa na Club/wapo karibu na Club)

1. James Pearce (LiverpoolEcho)
2. Tony Barret (The Times)
3. Paul Joyce (express)
4. Neil Jones (Echo)
5. Bascombe (Telegraph)
6. James Carrol (LFCTV)

Pia kuna Hawa. (reliable ITK's)
1. Joseph Musker (most reliable)
2. John Smith
3. Graeme kelly.
 
Tulishindwa kwa Sanchez, kwa sababu ya Wages!!! PERIOD..

Nuri Sahin chose BR over Wenger, coz tulioffer hela ya Maana!!!

Ingekuwa wachezaji wanaangalia managers!!!

Akina Lloris, Lamela, Erikssen wasingeenda Spurs!!

Au Mata asingeenda kwa Moyes, Cavan kwa Blanc wakat alikuwa na Option kibao huku EPL..

JAMANI, mpira ni PESA, ukiOffer Silly Money HUPATI mchezaji unayemtaka hata kidogo!!!!
 
Mr. Wise

Hatujawahi bid kwa Pedro,pl'se correct me if am wrong here, Pedro ni tetesi zilizokolea sana baada ya kuona deal ya baba Benja inasuasua kwa Barca kuongeza pesa yao, mtu ambaye tulibid ni Shaqir ila Bayern wakakataa. Mkuu hapo BR hasifii tu uwezo wa Sanchez ila anadai alikua "disappointed" maana ni True move aliyopush ifanyike na si tetesi kama za kina Pedro, Di Maria na Reus so nadhani hayakua maoni tu bali ni uhalisia maana tulitaka hii deal ikamilike amejaribu pia kuongelea mfumo hapo, Ikumbukwe Gunners waliweka 32mil pnds, sisi tukaweka 35mil pnds na ikakubaliwa, so it was about Sanchez's decision not fee or wage issue (Mshahara hauku play part yoyote kukwama kwa hii deal kama discussion yetu ilivyo kuhusu salary)

Mkuu labda tuachane nae tu b'se he is not our player!alishaondoka
 

Mkuu stats za msimu mmoja zikuogopeshe sana aya kama tatizo ni stats cheki hii nayo Austine ana goli 15 je ni bora kuliko Sanchez, Rooney, Hazard, Giroud nk ambao hawana 15 goals???Kevin Philips alifunga goli 30 season moja. Ya pili akapotea!!Nilizungumzia namna ya uchezaji ya Austin na Ings tu. Austine ni style ya Lambert so team ya mipira ya krosi nyingi ni sawa ila si LFC.

Ings uko alipotoka Championship walikua na Austin but Ings ndiye player of the year uko. Austine uchezaji wake wa kivivu ni uchezaji wa watu wa makamo yetu wenye 30's.
 

Mkuu mpira pesa liko wazi!!Ila kuna mahali nadhani ujanielewa nilichokiongea, Nilisema hivi swala mtu kutazama manager ama michuano team inayoshiriki huja kwa mchezaji pale maslahi ya team zinazomtaka YANAPOLINGANA. LFC walikua tayari kumlipa Sanchez kaja katoa Reason za Mji,kwengine walim quote anasema Wenger ndiye alimvuta, na anamwamini Wenger mbaya zaidi alishatukataa mapema na kudai anataka Arsenal

Rodgers believes that one of the reasonswhy Liverpool have failed to land some of their bigger targets is that playerswould prefer to live in London rather than on Merseyside.
"Playerslook at where they want to live, the social factors as well as the football,"he added.
"Ifsomeone gets offered more money to go elsewhere, if they want to go to London,there is not much you can do about it.
"Theclub has shown its hand that it is prepared to pay the wages for top players.Whether they come is another story."
 

Sasa unam-compare Austin na Ings au na kina Rooney? Kwani wachezaji wangapi wanatoka Championship na records za kuvutia wakifika Premier League wanachemsha?
Halafu nahisi hujui unachokiandika, nakuuliza kati ya QPR na Burnley nani anacheza hizo long balls/mipira ya krosi unajitoa ufahamu
Please, don't insult Kelvin Philips
Wachezaji wangapi wanatoka Championship na record nzuri wakifika EPL wanachemsha?
Unamuita Austin mvivu and yet ana goal 15 kwenye ligi pamoja na kucheza mechi chache zaidi ya Ings, au unahitaji kupewa maana ya 'uvivu?'
Bado hujapresent a valid argument kuonesha Ings ni bora ya Austin zaidi ya ile ya kupatikana bila ada ya uhamisho, kama vipi uombe msaada kwa MosDef
 
Last edited by a moderator:

Mkuu, NAWEZA KUKWAMBIA KWA KUJIAMINI SANA, HATUJAWAHI KUBID KWA SHAQIR HATA MARA MOJA, KIPINDI CHA SUMMER!

HABARI ZINATOLEWA NA LFC LOCAL JOURNALS KAMA KINA JAMES PEARCE HAZIWEZI KUWA RUMOURS HATA KIDOGO!

MPAKA SISI TUNAENDA KWA SANCHEZ, TAYAR ARSENAL WALISHAKUWA WAMEKUBALIANA PERSONAL TERMS NA KAMBI YA SANCHEZ, THATS MEANS TULITAKIWA KUTUMIA EXTRA FORCE KUMCONVINCE NA HAPO NI KUTOA OFFER KUBWA KULIKO YA ARSENA, HAPO NDO TUKAFELI,

NI sawa sawa uwe unamtongoza Mwanamke mmoja na jamaa mwingine, huyo jamaa wa kwanza akamuhonga iPhone5 na wewe ukaenda kumuhonga hiyo hiyo iPhone5...hawez kuku-kubalia!!!

Ukweli ni kwamba LFC inafail kwenye transfers kwa sababu ya Silly wages,

I hate Chelsea, but kwenye transfers, wenyewe huwa wanamaliza mambo kwenye Wages tu (saga za kina Willian, Salah etc) zote walizimaliza kwenye wages tu..

Yule mtoto ødergaard kwan ana uhakika na playing time pale Madrid??? lakin Madrid wamempata kwa sababu wametoa offer kubwa, and he's just 15, Kitu ambacho LFC, Arsenal, Barca wasingethubutu kufanya kwa mtoto wa miaka 15...
 
MARCOR REUS hatujawahi kumtaka, na nilishalipinga sana hilo suala humu!!
Mr. Wise nasikitika kuwa, pamoja na ushabiki wako uliotukuta kwa team yetu ya LFC, lakin bado hujaweza kung'amua propaganda na utetezi wa LFC (under FSG) kila usajili unapobuma...

Utetezi wa kuwakosa kina MK, salah, Sanchez, Etc ni ULE ULE wa kila SIKU, kasoro kwa WILLIAN tu, BR ndo alithubutu kuropoka kuwa ni uzembe wa FSG na ubahili wao nakumbuka alisema "if you want your club to succeed, you need world class players on your team, and they cost a lot of money, but yot got to spend it, thats is your Job as the owner"...hiyo statement ilipelekea FSG warudi dk za mwisho kwa Willian, ambapo Chelsea walikuwa washamalizana nae kitaambo (ni baada ya kuwapiga bao spurs, ambao walituzidi sisi LIVERPOOL katika Race ya Willian, just imagine that).
 
Last edited by a moderator:
JAMES PEARCE saying Replay dhidi ya BlackBurn itakuwa ni tarehe 8 April (J5)..so thats means BlackBurn watacheza Na Miliwall kama kawaida j3??? tarehe 6???

Game inakuwa siku 10-11 kabla ya Semi-finals..
 


"Liverpool made a bid for me before the World Cup but Bayern put their foot down and told me, 'We're not going to sell you,'" Shaqiri said.

Read more at Football | Home | ESPN.co.uk

Mkuu ikiwa kama iyo ni qoute toka kwa mhusika mwenyewe, sizani kama ye na wakala wake walihamua walitunga tu hiyo kauli.
Nawaamini sana local journals tatizo sikuona local journalist aliyelipoti kua tulibid kwa Pedro ama Di Maria, labda kama unaweza kunipa mmoja aliyeripoti kua tuliBID kwa Di Maria na Pedro, ukiacha tetesi za kuwahitaji.
 

Mkuu calm down and relax hatubishani ili kupata mshindi, tunaelekezana tu. Cheki hapa

Hapo Blue-----So far Ings ajachemsha so kama hao wengine
Hapo Red----- haijakaa vizuri, ni kama insult kwangu, I will never use such a word kwako in our discussion
Hapo Black--- Nayo imekaa vibaya kama tunapeana mipasho.

Mkuu, labda nadhani basi iyo ya ada ya uhamisho itatosheleza, na LFC ndio wameona iko vizuri kuliko ya Charlie
 

Katika Transfer market:

1. kuregister interest
2. kufanya Inquiry
3. kuBid

Ni vitu viTATU tofauti...kwa Shaqir tulikuwa na INTEREST tu wakat wa Summer (nadhan unaelewa maana ya INTEREST)..hii Ni HATUA ya mwanzo kabisa!

Unapoenda kufanya INQUIRY, ni kuulizia upatikanaji wa Mchezaji, then kama mchezaj anapatikana CLUB husika itakwambia ANAPATIKANA, na kama hayupo kwa AJILI ya kuuzwa CLUB husika itakwambia (hii ni Stage ya PILI ambayo inarest aside Rumours zote) mwenye KAULI ya Mwisho kabisa katika Hili Suala ni CLUB siyo AGENT hata kidogo!!!

Hapo Club ikishaambiwa mchezaji anapatikana, ndo inaanza kuwasiliana Na Agent/kambi ya mchezaji AU clubs huwa zinadisclose kuhusu inquiry iliyofanya kwenye medias (local journals na Reliable medias zivujishiwa habari)..baada ya HAPO zinabid MOJA kwa MOJA, ni club ikiridhika na BID, wanaenda katika Personal terms na Mchezaji, (siku hiz clubs zinaanza kwanza na personal terms) Juzi hapa Burnley si walitaka wailetee msala LFC, kwa FA baada ya LFC kwenda moja kwa moja kwa Ings bila kufata procedures!!!!

Asa kwa Shaqir tulikuwa na INTEREST TU..


Asa me nilivyo, Habari mpaka niione kwa kina Pearce, Barret, Ben Smith ndo nakufa nayo hiyo hiyo!!! coz wanareport on behalf of the Club..
 

Mkuu kumradhi kwa hizo insults na 'mipasho', my apologies!
 
TukiiPiga Swansea, Spurs waipige Manure, then tuipige Manure pale Anfield..TOP FOUR is OURS..

KWANZA
Huwezi kuipiga Spurs
PILI
huwez kabisa kuipiga LFC
TATU
Huwez kuingia TOP FOUR
NNE
Sidhan kama una Haki ya Kujipangia Mipango ya TOP FOUR, manake kwako ni MAJAALIWA!!

KWANZA
Huwezi kuipiga Swansea
PILI
Huwezi kuipiga Man United
TATU
Spurs haiwezi kuipiga Man United
NNE
Loserfool haiwezi kuingia TOP FOUR
TANO
Sidhan kama una Haki ya Kujipangia Mipango ya TOP FOUR, manake kwako ni MAJAALIWA!

Dah wewe jamaa hata kama ni unazi, umezidi kuandika pumba.
 
Burnley na QPR nani wanacheza mpira wa chini na wa pass? Prove me wrong lakini Burnley ndio wapiga pass ndefu na mipira ya juu EPL wakifuatiwa na Manure na ndiko anakofit Ings
Ukisema kigezo cha pesa nakuelewa completely but not otherwise

I am proving you wrong chief....

So far, Man United is leading in terms of ball possession and pass success percentages. Then how can United be second for long balls league?

[TABLE="class: grid with-centered-columns hover"]
[TR]
[TH="class: o"]R
[/TH]
[TH="class: tn"]Team[/TH]
[TH="class: global sortable shotsPerGame"]Shots pg [/TH]
[TH="class: global sortable yellowCard"]Discipline[/TH]
[TH="class: global sortable possession"]Possession%[/TH]
[TH="class: global sortable passSuccess"]PassSuccess%[/TH]
[TH="class: global sortable aerialWonPerGame"]AerialsWon[/TH]
[TH="class: global sortable rating"]Rating[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]1[/TD]
[TD="class: tn"]Arsenal[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]15.6[/TD]
[TD="class: aaa"]602[/TD]
[TD="class: possession"]55.3[/TD]
[TD="class: passSuccess"]83.0[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]20.6[/TD]
[TD="class: sorted"]7.37[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]2[/TD]
[TD="class: tn"]Chelsea[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]15.6[/TD]
[TD="class: aaa"]503[/TD]
[TD="class: possession"]55.8[/TD]
[TD="class: passSuccess"]83.8[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]17.8[/TD]
[TD="class: sorted"]7.35
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]3[/TD]
[TD="class: tn"]Manchester City[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]16.8[/TD]
[TD="class: aaa"]612[/TD]
[TD="class: possession"]59.8[/TD]
[TD="class: passSuccess"]84.9[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]15.9[/TD]
[TD="class: sorted"]7.26[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]4
[/TD]
[TD="class: tn"]Manchester United[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]13.4[/TD]
[TD="class: aaa"]534[/TD]
[TD="class: possession"]60.2[/TD]
[TD="class: passSuccess"]85.0[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]15.7[/TD]
[TD="class: sorted"]7.22[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]5[/TD]
[TD="class: tn"]Liverpool[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]15.5[/TD]
[TD="class: aaa"]501[/TD]
[TD="class: possession"]54.7[/TD]
[TD="class: passSuccess"]82.7[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]15.4[/TD]
[TD="class: sorted"]7.13[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]6[/TD]
[TD="class: tn"]Tottenham[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]14.6[/TD]
[TD="class: aaa"]583[/TD]
[TD="class: possession"]56.5[/TD]
[TD="class: passSuccess"]81.3[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]15.7[/TD]
[TD="class: sorted"]7.13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]7[/TD]
[TD="class: tn"]Southampton[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]13.6[/TD]
[TD="class: aaa"]422[/TD]
[TD="class: possession"]53.9[/TD]
[TD="class: passSuccess"]80.4[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]17.3[/TD]
[TD="class: sorted"]7.10[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]8[/TD]
[TD="class: tn"]West Ham[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]13.3[/TD]
[TD="class: aaa"]492[/TD]
[TD="class: possession"]45.7[/TD]
[TD="class: passSuccess"]74.7[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]23.4[/TD]
[TD="class: sorted"]7.07[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]9[/TD]
[TD="class: tn"]Stoke[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]12.9[/TD]
[TD="class: aaa"]600[/TD]
[TD="class: possession"]49.6[/TD]
[TD="class: passSuccess"]77.7[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]25.2[/TD]
[TD="class: sorted"]7.05[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]10[/TD]
[TD="class: tn"]Swansea[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]11.5[/TD]
[TD="class: aaa"]385[/TD]
[TD="class: possession"]49.9[/TD]
[TD="class: passSuccess"]82.3[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]14.3[/TD]
[TD="class: sorted"]7.01[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]11[/TD]
[TD="class: tn"]Crystal Palace[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]11.5[/TD]
[TD="class: aaa"]434[/TD]
[TD="class: possession"]39.4[/TD]
[TD="class: passSuccess"]68.5[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]24.8[/TD]
[TD="class: sorted"]6.98[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]12[/TD]
[TD="class: tn"]Hull[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]10.2[/TD]
[TD="class: aaa"]564[/TD]
[TD="class: possession"]44.2[/TD]
[TD="class: passSuccess"]77.2[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]22[/TD]
[TD="class: sorted"]6.96[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]13[/TD]
[TD="class: tn"]Queens Park Rangers[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]14.6[/TD]
[TD="class: aaa"]542[/TD]
[TD="class: possession"]44.6[/TD]
[TD="class: passSuccess"]72.1[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]20.9[/TD]
[TD="class: sorted"]6.95[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]14[/TD]
[TD="class: tn"]Everton[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]12.4[/TD]
[TD="class: aaa"]522[/TD]
[TD="class: possession"]55.5[/TD]
[TD="class: passSuccess"]83.7[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]14.9[/TD]
[TD="class: sorted"]6.91[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]15[/TD]
[TD="class: tn"]Newcastle United[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]11.8[/TD]
[TD="class: aaa"]523[/TD]
[TD="class: possession"]47.5[/TD]
[TD="class: passSuccess"]77.6[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]18.4[/TD]
[TD="class: sorted"]6.91[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]16[/TD]
[TD="class: tn"]Burnley[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]11.6[/TD]
[TD="class: aaa"]470[/TD]
[TD="class: possession"]43.2[/TD]
[TD="class: passSuccess"]71.0[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]23.9[/TD]
[TD="class: sorted"]6.88[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]17[/TD]
[TD="class: tn"]Leicester[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]11.1[/TD]
[TD="class: aaa"]434[/TD]
[TD="class: possession"]43.3[/TD]
[TD="class: passSuccess"]72.9[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]22[/TD]
[TD="class: sorted"]6.87[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]18[/TD]
[TD="class: tn"]West Bromwich Albion[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]11.1[/TD]
[TD="class: aaa"]491[/TD]
[TD="class: possession"]46.5[/TD]
[TD="class: passSuccess"]76.1[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]17.2[/TD]
[TD="class: sorted"]6.86[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: o"]19[/TD]
[TD="class: tn"]Sunderland[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]10.3[/TD]
[TD="class: aaa"]722[/TD]
[TD="class: possession"]46.4[/TD]
[TD="class: passSuccess"]77.6[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]14.6[/TD]
[TD="class: sorted"]6.85[/TD]
[/TR]
[TR="class: alt"]
[TD="class: o"]20[/TD]
[TD="class: tn"]Aston Villa[/TD]
[TD="class: shotsPerGame"]10.4[/TD]
[TD="class: aaa"]596[/TD]
[TD="class: possession"]47.9[/TD]
[TD="class: passSuccess"]78.8[/TD]
[TD="class: aerialWonPerGame"]18.4[/TD]
[TD="class: sorted"]6.78[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: table-column-legend info"]
[TR]
[TH]Shots pg : Shots per game[/TH]
[TH]PassSuccess%: Pass success percentage[/TH]
[/TR]
[/TABLE]

Premier League Team Statistics | WhoScored.com
 

United have played some 1,861 long balls over 24 Premier League matches this season; numbers that in themselves do not mean an awful lot. However, rank all 98 teams across Europe’s top five leagues in these terms and it makes pretty grim reading for the club.

Only two teams – Metz, who are rock bottom of Ligue 1 (1,903) and Premier League strugglers Burnley (1,875) – have attempted more long balls this season than Manchester United.

http://gu.com/p/45kgg/sbl
 
Nimependa hapa alivyojibu Hendo kuhusu saga la u-captain

“Mama [Sakho], Emre [Can] and [Martin Skrtel]
have developed a strong collective understanding.
You can see their passion, they’re desperate to
win, they give everything."

Ila hapa mmmmh...!
“[ Daniel Sturridge ] is a big character."

Bora hapa

"Lucas (Leiva) is too."

Akamalizia hivi

" I can only do the current job the
best I can.”
 

Ha ha ha!! Naona unajitutumia chifu.

Long balls masters, ball possession masters, and pass-success masters, how contradicting it is!!

How can a team be the best in possession and pass-success, and yet be considered a long balls team?

In football, that can never happen.

I brought you factual evidence in statistics, you brought baloney with words turned into numbers.
 

Teh teh teh
Manure are best and accurate in long ball possession, other teams though, prefer short and quick passes.
Those you called baloney are actual facts, you can verify them via Opta, Whoscored.com or Squawka
And if you are still not satisfied, you can take the matter to Big Sam........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…