Asante kwa updates mkuu...now I can sleep peacefully.
Nikiangalia ratiba yetu na ratiba ya Man U, kweli wenzetu kazi wanayo but sababu soccer ni 90mins ngoja tusubirie tu
Najua umechukia sana kwa matokeo yetu ya leo Liberty Stadium
Njoo Anfield sasa ukione cha mtema kuni
Nishakwambia wewe umebakia kuokota makopo tu....
Kaka nimekwambia tusubiri usinitie majaribuni siku hiyo nikamwacha Yesu wangu nikaamua kujivuruga na Savanna zako,lol