Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

10524009_10153303444342573_7474388582529602756_n.jpg
 
Hongereni sana wakuu ushindi ni ushindi tu....... Malafyale to be honest kipindi cha kwanza ilikuwa hovyo sana nikajisemea hawa ndo watu kweli wanaotaka point 3 kutoka kwangu? At least lastly 15 minutes mmeonyesha uhai.

Ed n Edd nEddy nilikwambia 90 ndo zinaongea hope umefarijika hofu ya sare imetoweka shukuru na mimi nilikuwa nakuwekea dua zangu ushinde,lol. Tukutane hapo kwenu jumapili dah!! Itakuwa njema sana....

Asante mtani

Kumbe ulipata na kamuda ka'kuangali game.....

Hiyo jumapili hiyo wacha ifike tu tuone 90mnts
 
Last edited by a moderator:
Title yenu tayari mnayo Mpwa,hongereni sana!

Jumapili tunamfukuza Man U hapo namba 4 na kabla Aprl haijaisha Man City nae namshusha

Nikuulize kitu kimoja, hv mkimaliza msimu huu nafasi ya tatu bila kikombe chochote mtakuwa mmefanikiwa kuliko msimu uliopita au mmefanya vibaya zaidi ya msimu uliopita..?
 
Nikuulize kitu kimoja, hv mkimaliza msimu huu nafasi ya tatu bila kikombe chochote mtakuwa mmefanikiwa kuliko msimu uliopita au mmefanya vibaya zaidi ya msimu uliopita..?

Itakuwa tumefanya vibaya sababu mwaka jana tulikuwa wa pili

Kuchelewa kupata formation BR kumetuumiza sana lkn FA ni letu
 
Back
Top Bottom