Mkuu hii match mnaweza kutuonjesha joto ya jiwe; wala siwadharau leo ha ha ha hatimu yangu siku hizi imechoka kweli, yaani tunaongoza lakini hata red label hainyweki:doh:
Kumbe uko timu ya wazinzi daa pole sana....Sisi Arsenal tuna uguzaDakika ya 20, bado mambo si mazuri upande wangu (Chelsea); L'pool wanaongoza kwa goli moja
Shukuru Mungu wako unatumia ID bandia, kama wewe hujawahi kuzini basi waite wazinziKumbe uko timu ya wazinzi daa pole sana....Sisi Arsenal tuna uguza
Invisible,
Terry is Terrible, ule haukuwa mpira wa kupitwa na Torres! Leo tunafunga tela...