Rev. na wewe ni chelsea?Invisible,
Terry is Terrible, ule haukuwa mpira wa kupitwa na Torres! Leo tunafunga tela...
Dakika ya 7 inaelekea na mpaka sasa tupo 0 - 0. So far naamini hawa L'pool ni wetu tu, tutawa-Arsenal tu
muda bado kamanda.... liverfools ni jamvi la wageni, hahaha:nono:Nasikia homa ha ha ha.
Tumelala 2-0 na sasa dakika ya 76
unaimanisha au unampa moyo...muda bado kamanda.... liverfools ni jamvi la wageni, hahaha:nono:
Leo sina hata hamu na match tena ha ha ha... Maumivu teleeeemuda bado kamanda.... liverfools ni jamvi la wageni, hahaha:nono:
Hamna, sisi N.Castle wametutungua kamoja, na ninyi mfungwe...aaa bana Chelsea chama kubwa..teheNasikia homa ha ha ha.
Tumelala 2-0 na sasa dakika ya 76