Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mtoto kasema hataki hela anataka vikombe, uko hapo kaka???? Mtoto huyu kanifurahisha sana......

Ulishawahi kumsikia mchezaji anasema moja kwa moja kuwa si sign mkataba kisa ni maswala ya fedha?
 
Ulishawahi kumsikia mchezaji anasema moja kwa moja kuwa si sign mkataba kisa ni maswala ya fedha?

Huwa hawasemi lakini wengine husema, ila dogo kagongelea msumari zaidi kwahiyo kauli yake......
 
texera jerome sinclair ojo wapo wengi tu kwa kifupi livgerpool academy nia kina raheem wengi sana
 
Hahaaa mtani tuache na yetu..... Kwa rumors nimesikia Arsenal ndo wanamnyatia kwa karibu zaidi sasa sijui anataka vikombe gani:what::what:

Mtani halafu siku hizi hata hunipendi yaani tokea siku ile ya jumapil upendo umepoa kabisa,lol

Huyo dogo atakuwa anakuruka mkojo anakanyaga kinyesi bora tu aendelee kubaki na nyie.....
 
Na mimi leo natangaza kuwa team anti-raheem sterling sipend anavyojipaisha sometymes
 
Mtani halafu siku hizi hata hunipendi yaani tokea siku ile ya jumapil upendo umepoa kabisa,lol

Huyo dogo atakuwa anakuruka mkojo anakanyaga kinyesi bora tu aendelee kubaki na nyie.....

Me namsubiri tu nione jinsi career yake ya soka inatakavyoshuka

Hapana mtani upendo upo pale pale vimajukumu kidogo tu sitakutupa
 
Basi aende Barca au Madrid au Bayern maana hao ndiyo wana uhakika wa kombe

Swali je ana quality kuchezea teams hizo

Hapo chacha!!! Huyu dogo England asikae aende Spain,Germany au Italy........

Halafu mimi kanifurahisha timu anazotaka kwenda ndo zile zile eti Arsenal, Man city kweli??? Lakini BR asimlazimishe kama hataki atakuja kuwacost badaye mwacheni aende kule roho yake inataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…