Na winga ya kulia je? Au leo mtacheza na 4 at the back?
Maana nimetoka kumsoma mchambuzi mmoja huko Eurosport, katumia data za Whoscored.com kuonesha how vulnerable your right wing is kwenye matches zote mlizopoteza mwaka huu (2015)
Just like manure game... chances ni 50/50, we lost the manure game so hata hii tunaweza kupoteza
we havent won at the emirates for a long time sasa
Poleni sana loserfool but leo niko upande wenu, vunjeni huo mwiko wa kutoshinda Emirate
teh teh teh... naona vipofu wameona mwezi, kazi tunayo mwaka huu
sturridge aanzie benchi, anaua sana moves
aje second half kama impact player
Msiwe na wasiwasi jamani!Lucas 100% fit na vijana wote wamerudi international break wakiwa fit!Nina imani leo tutapata matokeo mazuri
Tuombe na kufunga na kusali kwa kila mtu na dini yake
Historia haidanganyi nyie kumaliza juu yetu last season ilikuwa kama kuokota almas kibarazani. Misimu yote mmekuwa mkitubeza kila kukicha huku tukinyakua vikombe.
Sasa tunarudi tena kwenye harakati zetu, this time tukisaka kucheza uefa tu. Next season nadhani unajua tutakuwa tushaimarika vya kutosha so heshima itachukua mkondo wake.
Sasa kati ya Looserfool na Man u nani ameona mwezi misimu mingapi imepita hamkucheza UEFA, misimu huu tu kucheza ndio mnajiona mmerudi kwenye peak...teh teh teh... naona vipofu wameona mwezi, kazi tunayo mwaka huu
Kwa nini mechi nyingi Liverpool ikicheza na timu kubwa huwa zinachezwa mchana?
Tume survive so far