If you cant support us when we loose,dont support us when we win.. Bill shankly.
Ila kiukweli timu yangu inanipa huzuni,sijui huwa tunakosea wapi. Maana kila tumalofanya ni bure kabisa.
"Nlikuwepo":bolt:
Kuwa shabiki wa LFC unahitaji kuwa na moyo wa chuma aisee.
Asante Mkuu!!aisee tuko pabaya sana
Ku predict matokeo ni jambo la kawaida ktk soccer Mkuu, ila huwa hatulazimishi tulicho predict kwa kusema ni "LAZIMA" kitokee, Big up kwa good prediction.
I'm a big fan of Rafa na mbinu zake, ila sidhani kama FSG wanampango na uyo mtu. Nadhani Tumsahau tu, tutazame wengine ama uyu tuliyenaye.
really dissappointing results I hope tutasahihisha this sh*t kwenye FA cup, best of luck liverpool
kilichokua kinai drive team muda wote hapo awali ni ile spirit ya kutokufungwa mwaka huu tu na si kingine.
Kwambali naiona safari ya Brendan inakaribia.....
humu ndani mko poa kweli...looserfools
naona hata tutoto twa vikopo sasa mnajifunza "typing"
bado sana
Sio pabaya ndipo mnapostahili kwa miaka yote ambayo Man U imekuwa kwenye utukufu wake, mwaka jana tuliwapa kukaimu wakati tukimjaribu The Chosen One mkashindwa wenyewe kwa kusajili watoto wasio kwenda na pumzi ya ngoma ya kiutu uzima ikifika saa 12 jioni wanasinzia wote.
Man Utd ndani ya lawama tena
Mkuu nadhani ujanielewa, team ilishaonesha kukosa muelekeo tokea Mechi na Swansea!Ile mechi ya Swansea tulishindia bahati tu. Kabla ya hapo niliamini ikitokea tumepoteza game yoyote epl, basi tutarudi tulivyokua
Mkuu upo sahihi , tatizo kocha lako halijui hata kusoma mchezo ni kukariri tu
Nimegundua tatizo kubwa la LFC wala sio kocha,ni ile timu yake iliyojaa mediocre players,leo hii BR huyuhuyu ukimpa timu kama Chelsea au Man city anashinda EPL
Nimegundua tatizo kubwa la LFC wala sio kocha,ni ile timu yake iliyojaa mediocre players,leo hii BR huyuhuyu ukimpa timu kama Chelsea au Man city anashinda EPL
Itaendelea kuwa hivyo mkuu sababu BR mwenyewe amekiri ni vigumu kusajili world class player kwenye hii summer time