Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Aiseee pole sana, kumbe niliongozwa vizuri eeh ungekuta siku hiyo mtani ungenipa za uso.
😀😀😀 ningekusizia tu maana nyumbani walinisumbua ila nikawa mpole tu 😉😉😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee pole sana, kumbe niliongozwa vizuri eeh ungekuta siku hiyo mtani ungenipa za uso.
Bila new owners LFC itabaki kuwa timu ya historia tu.
These American owners are so stingy.
Gerrard si bado ile adhabu inamfuata hadi huku kwenye FA au?
Nina wasiwasi sana kama mtatoboa hiyo game kwa kweli.
Allen asicheze wakati no mtt wa BR, hapo atakuja na mfumo wake ule ule
Makes plenty of sense. We need owners who can take ownership of LFC football affairs.
Hata sisi hatuachagi mambo yote ya domestics kwa house-girls/boys tunaowaajiri, lakini ndicho wanachofanya hawa Yankees kwa sasa. They make my gut feel sick!
Binafsi silaumu manager (a very good technician) wala wachezaji (a bunch of pretenders). Nitaendelea kulaumu wrong mentality ya FSG wanaoichukulia timu yetu kama ni club ya kawaida.
Hawa owner kama unawaonea, kocha wako ndio tatizo, msimu mmoja amesajili magarasa Tisa useless, inamaana timu nzima haifai!! Na ndio ilishika nafasi ya pili , labda kosa lao kuto mbadilisha kocha
SG, Emre Can, skritel, Ibe, wote hawapo!
Nahis itabid turud kwenye back 4!
Kolo na Allen wasianze kabisa Aisee! Lovren then Lucas and hendo in the middle!
Msikonde, tumemaliza mechi za kufungwa, by the time we meet chesii tutakua na full skwad
Hata Balo au Borini can do betterI hope so Mkuu!ila tatizo la striker bado linaninyima confidence sana, maana hata game nyingi zilizopita tulikua tunafunga goli bila striker naona wale waliokua akifunga mpira umekataa. Ule ubutu kama unaonekana ukizingatia DS15 hajawa fit vzuri.
Kabisa mkuu 3-4-3 bila Skrtel imetufanya tunakua very exposed. May be Manager ajaribu 4-1-3-2 inaweza ikatuhifadhi uyo mmoja mbele ya 4 awe Lucas.
let the boy go and we start afreshZINEDINE ZIDANE has confrimed Madrid are Monitoring Sterling!
Public pursuit za Madrid zishaanza!!!
let the boy go and we start afresh
he wont make it at RM,
The problem is, tutauza Raheem kwa 55mill, na tutaspend tena hiyo hela kwa promising players!
Then after 2 years tutauza tena IBE, na tutaspend hiyo hela kwa promising players! Hapo Ojo au Sinclair ndo atainuliwa kama ibe sahiv, ambao nao pia tutawauza!
The thing is, we're becoming a selling club!
Coutinho yupo kimya sahiv, but with Iniesta edging to the end of his prime, won't be suprised if cou will be their next target! And he won't hesitate to leave, coz as a Club we got NO ambitions kabisa!
Mkuu FSG ni big pbm kwetu aisee,ila pamoja na hayo BR nae bado sana katika baadhi ya maeneo. Kama kweli anaipenda kazi yake angetia mgomo wa LFC kununua average players kama ma manager wenye akili wafanyavyo. Haya aliyataka yeye mwenyewe maana hili linalotokea ndio lile ambalo Roberto Martinez alilikataa FSG walipotaka kumpatia team ila yeye BR alilikubali na kutoa promise ya kufanya mazuri within 5yrs.
Ila bado nitampongeza BR kwa kufanya vzuri mwaka jana huku akiwa na bajeti ndogo kabisa.
Mkuu MosDef umenena kitu ambacho always kina rotate kwenye akili yangu...sasa nimeanza kuwaelewa hawa FSG hawana ambition kabisaaa..yaani wao Ni wafanyabiashara..wananunua wachezaji kwa pesa ndogo,wanampelekea BR anawafundisha then wanapanda thamani wanawauza...that's exactly what is done there kaka...
Club ya Liverpool niliyoifahamu Mimi sio ya dizaini hii...huu Ni upuuzi....na hali ikiendelea hivi binafsi itaniondolea morale ya kuishabikia timu yangu...nitaamua kuachana na EPL na sidhani kama nitakuwa nimejitendea haki...
the worst thing is that inaonekana hawa FSG hawana hata plan ya kuiuza timu hii kwa wawekezaji wengine wenye ambitions zao za maana...as long as wanapata faida..wao hawaoni kabisa kama wanatuumiza sisi mashabiki....