sasa ndugu yangu timu ina kepteni anastamp tu watu, mkoba wa nguvu naye anastamp, kiberenge chetu nacho kutwa kiguu na njia magazetini kwamba kinataka talaka, vice kepten naye hajulikani ni ndege au popo, hapo bado hatujajua if there is a dressing room revolt au vipi
hata wagonjwa wetu wa akili (akina baloteli) sasa wanapata na homa kabisa