Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

God...
 

Attachments

  • 1409124691599.jpg
    1409124691599.jpg
    83.3 KB · Views: 81
Thierry Henry on SG
 

Attachments

  • 1409124829208.jpg
    1409124829208.jpg
    51.2 KB · Views: 84
Wallpaper!!
 

Attachments

  • 1409124910989.jpg
    1409124910989.jpg
    49.7 KB · Views: 82
Sterling's girlfriend....

He's only 19
 

Attachments

  • 1409125465915.jpg
    1409125465915.jpg
    104 KB · Views: 86
Marioooo...GJ haamini anachokiona..
 

Attachments

  • 1409125560917.jpg
    1409125560917.jpg
    55.5 KB · Views: 85
Mchoro wa The BIG EMRE CAN
 

Attachments

  • 1409125713771.jpg
    1409125713771.jpg
    23.3 KB · Views: 76
King kenny
 

Attachments

  • 1409125825246.jpg
    1409125825246.jpg
    26.5 KB · Views: 74

Attachments

  • 1409126536825.jpg
    1409126536825.jpg
    35.7 KB · Views: 81
  • 1409126554408.jpg
    1409126554408.jpg
    24.8 KB · Views: 69
Hahahaha!!! F*ck off Eto'o..LOL
 

Attachments

  • 1409127801867.jpg
    1409127801867.jpg
    18.4 KB · Views: 78
JACK SEAR in 2011.

HAHAHAHAHAHA #Madness
 

Attachments

  • 1409129602906.jpg
    1409129602906.jpg
    40.6 KB · Views: 75
  • 1409129675654.jpg
    1409129675654.jpg
    27 KB · Views: 74
  • 1409129755592.jpg
    1409129755592.jpg
    23.1 KB · Views: 71
tatizo la washambuliaji wa liverpool kila mmoja ni mchoyo anataka afunge yeye,kama sturige alivyokuwa anamfanyia Suarez.
 
Hii habari ya allen kutakiwa na man utd.....imekaaje wadau?
 
Hii habari ya allen kutakiwa na man utd.....imekaaje wadau?

Hahah..

Mchezaji kutoka liverpool kwenda manure au kutoka manure kuja Liverpool ni ngumu zaidi ya LIONEL MESSI kusajiliwa na YANGA..

Afu ni Daily mail hao, ni kama Express vile amabao bado wanang'ang'ania ishu ya Shaqir to LFC mpaka leo...

So relax bro Tores..
 
Last edited by a moderator:
tatizo la washambuliaji wa liverpool kila mmoja ni mchoyo anataka afunge yeye,kama sturige alivyokuwa anamfanyia Suarez.

Watu bado hawajamjua sturridge vizuri, jamaa wakat yupo Man city then akaenda.Chelsea kote huko alikuwa consdered kama A backUp ST, yaan alikuwa ni kati ya wale wachezaji wa kawaida kwenye team *squad player*..nadhan hiyo ishu ilimchukua sana kisaikolojia, maanake alikuwa anataka kuaminika pia, alikuwa anataka kuwa number 1 kama kina Drogba (Danny anajiamini sana) ndo maana kila alipokuwa anapata nafasi ya kucheza alikuwa anataka kuprove kitu, hii ikamfanya awe selfish saana (kutaka kwenda sawa na Drogba kulimponza sana)..

Ndo maana hata BR alipomchukua LFC fans walipiga kelele sana na Chelsea mlimwachiA kwa HELA ndogo sana..ila nadhan BR alimbadilisha sana mshikaji, coz kikubwa alichokuwa anakihitaji Danny ni KUAMINIWA tu, ule uselfish wake wa chelsea ulipungua sana..

I Mean, wakat yupo chelsea alikuwa anaweza.kutoka na mpira pemben na kuingia nao mpaka katikati na hata kukiwa na ufinyu wa kupiga atataka kupiga tu hata kama kuna mtu kishafungua kwenye box tayari..ilikuwa inawacost chelsea mara kwa mara..

Lakin uchoyo alionao Danny sahiv ni kama wa ST yoyote yule anayejiamini, ni kama vile DIEGO COSTA akiwa ndan ya box na kishaona upenyo wa kupiga afu umpigie makelele ya kuomba pass, au yupo nje kidogo ya box na kishamuona keeper alivyokaa na upenyo wa kushoot upo, Afu utegemee akupe pass!!! Hakupi hata kwa dawa, hapo atafanya hivyo Torres tu kwa kuwa hajiamini KABISA sahiv..lakin kwenye circumstances kama hizo usitegemee upate pass kutoka kwa Aguero, Robben, Messi, Ronaldo, lewandowsk, Muller, kina Ibra, Adebayor, Sanchez na hata Suarez mwenyewe hakupi pass hapo...hapo watakupa akina Aspas na kina Torres..

Ila Danny ameimprove kidogo, tofauti na alivyokuwa Chelsea..na unaweza ukaona mwenyewe hawez kusimama mbele peke yake bila partner!!
 
Watu bado hawajamjua sturridge vizuri, jamaa wakat yupo Man city then akaenda.Chelsea kote huko alikuwa consdered kama A backUp ST, yaan alikuwa ni kati ya wale wachezaji wa kawaida kwenye team *squad player*..nadhan hiyo ishu ilimchukua sana kisaikolojia, maanake alikuwa anataka kuaminika pia, alikuwa anataka kuwa number 1 kama kina Drogba (Danny anajiamini sana) ndo maana kila alipokuwa anapata nafasi ya kucheza alikuwa anataka kuprove kitu, hii ikamfanya awe selfish saana (kutaka kwenda sawa na Drogba kulimponza sana)..

Ndo maana hata BR alipomchukua LFC fans walipiga kelele sana na Chelsea mlimwachiA kwa HELA ndogo sana..ila nadhan BR alimbadilisha sana mshikaji, coz kikubwa alichokuwa anakihitaji Danny ni KUAMINIWA tu, ule uselfish wake wa chelsea ulipungua sana..

I Mean, wakat yupo chelsea alikuwa anaweza.kutoka na mpira pemben na kuingia nao mpaka katikati na hata kukiwa na ufinyu wa kupiga atataka kupiga tu hata kama kuna mtu kishafungua kwenye box tayari..ilikuwa inawacost chelsea mara kwa mara..

Lakin uchoyo alionao Danny sahiv ni kama wa ST yoyote yule anayejiamini, ni kama vile DIEGO COSTA akiwa ndan ya box na kishaona upenyo wa kupiga afu umpigie makelele ya kuomba pass, au yupo nje kidogo ya box na kishamuona keeper alivyokaa na upenyo wa kushoot upo, Afu utegemee akupe pass!!! Hakupi hata kwa dawa, hapo atafanya hivyo Torres tu kwa kuwa hajiamini KABISA sahiv..lakin kwenye circumstances kama hizo usitegemee upate pass kutoka kwa Aguero, Robben, Messi, Ronaldo, lewandowsk, Muller, kina Ibra, Adebayor, Sanchez na hata Suarez mwenyewe hakupi pass hapo...hapo watakupa akina Aspas na kina Torres..

Ila Danny ameimprove kidogo, tofauti na alivyokuwa Chelsea..na unaweza ukaona mwenyewe hawez kusimama mbele peke yake bila partner!!
Basi jibu iverpool wamwuze,jamaa mchoyo wa pasi,heri apaishe juu kuliko mtu afunge,ndo naona liverpool wanamheshimu
 

Attachments

  • 1409143697695.jpg
    1409143697695.jpg
    82.9 KB · Views: 62
  • 1409143721380.jpg
    1409143721380.jpg
    73 KB · Views: 58
  • 1409143744012.jpg
    1409143744012.jpg
    70.9 KB · Views: 55
tatizo la washambuliaji wa liverpool kila mmoja ni mchoyo anataka afunge yeye,kama sturige alivyokuwa anamfanyia Suarez.
Ni kweli wachoyo ndomana msimu uliopita walimaliza na magoli 100 na ambao sio wachoyo ma striker wao walikuwa Wanapiga Kama magoli ya Rugby juu!
 
Back
Top Bottom