Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ni kweli aisee, ningejua ni bora ningetizama wa Arsenal... nilitegemea Madrid wangepiga ball la nguvu, yaani sijui walikuwa wanacheza vitu gani, wameniudhi kinyama...

sio wangecheza mpira wanguvu,wamekutana na wakubwa wenzao,acheze mpira wa nguvu afungwe
 
Ni kweli aisee, ningejua ni bora ningetizama wa Arsenal... nilitegemea Madrid wangepiga ball la nguvu, yaani sijui walikuwa wanacheza vitu gani, wameniudhi kinyama...

Mkuu mpira ndivyo ulivyo, kila team ucheza kulingana team inayocheza nayo, mi ndio maana nasema mpira ni dk90 sio maneno ya nje, anyway they wameshinda.
 
Ni kweli aisee, ningejua ni bora ningetizama wa Arsenal... nilitegemea Madrid wangepiga ball la nguvu, yaani sijui walikuwa wanacheza vitu gani, wameniudhi kinyama...

sio wangecheza mpira wanguvu,wamekutana na wakubwa wenzao,acheze mpira wa nguvu afungwe
 
Madrid's assault begin at Benebeau

Mashabiki wa Real Madrid ni wastaarabu, embu angalia
banners zilizokuwa Bernabeu usiku huu

10801805_837797382918579_8924499888167377096_n.jpg

 
Am so proud of my liverpool football club!

Ningekuwa BR kikosi hiki cha leo kingeanza na Chelsea ningemuanzisha Hendo tu badala ya Markovic!

Utaona Jumamosi atakavyo tuharibia team na mfumo wake wa ajabu!Liverpool team tunayo tatizo ni kocha tu
 
Ningekuwa BR kikosi hiki cha leo kingeanza na Chelsea ningemuanzisha Hendo tu badala ya Markovic!

Utaona Jumamosi atakavyo tuharibia team na mfumo wake wa ajabu!Liverpool team tunayo tatizo ni kocha tu

Combo ya Lucas+Can+SG..PC kama.kawaida kwenye Free role..MB and Borini upfront...RS roamin around nyuma ya hawa waheshimiwa...

BACK FOUR IWE ILE ILE!!


BUT all in all LUCAS LEIVA IS BACKKKK!

EMRE CAN ndo MAJOR SIGNING YA MSIMU.

Waambie hao RENT BOYS wamlete Matic huyo...hahahahahaha!! CAAAAAAAAN (he's only 20 tu aisee)..bossing the RMA midfield siyo kitu kidogo aiseee!!!!

HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAH!!!
 
........And today ndo wote tumegundua Lovren is SHIT..

Angekuwepo leo, tungepigwa hata NNE!!
 
Leo liver imecheza vizuri, Borini mpiganaji sana, angepewa nafasi kuongoza mashambulizi. Na Emre Can akizoea EPL vizuri atakuwa jembe balaa.
 
Combo ya Lucas+Can+SG..PC kama.kawaida kwenye Free role..MB and Borini upfront...RS roamin around nyuma ya hawa waheshimiwa...

BACK FOUR IWE ILE ILE!!


BUT all in all LUCAS LEIVA IS BACKKKK!

EMRE CAN ndo MAJOR SIGNING YA MSIMU.

Waambie hao RENT BOYS wamlete Matic huyo...hahahahahaha!! CAAAAAAAAN (he's only 20 tu aisee)..bossing the RMA midfield siyo kitu kidogo aiseee!!!!

HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAH!!!

Akipanga kama back line ya leo Chelsea namchapa bila hata wasiwasi lkn wasi wasi wangu anaweza mtoa Kolo akamleta Lovren!

BR ananikosesha sana raha kwa kweli
 
Watu Na timu zenu Chelsea alishindikana msimu uliopita Suarez danny u will Never work alone song wote walikuwepo ,eti Leo achapwe kilaini mapenzi ni upofu
 
unapataje ujasiri wa hata kufikiria unamfunga chelsea...ukiwa huna beki ya kumzuia costa na hazard..achilia mbali oscar na willian..huna fowadi ya kuwatoa jasho cahill na tery na ivanovic..sioni BR akimzuia morinho
..ila emre can anatakiwa afanye dirty job ya kumzuia fabregas km alivyofanya fellaini...
 
unapataje ujasiri wa hata kufikiria unamfunga chelsea...ukiwa huna beki ya kumzuia costa na hazard..achilia mbali oscar na willian..huna fowadi ya kuwatoa jasho cahill na tery na ivanovic..sioni BR akimzuia morinho
..ila emre can anatakiwa afanye dirty job ya kumzuia fabregas km alivyofanya fellaini...

mbona OT walifichwa wote hao unaowataja
 
Akipanga kama back line ya leo Chelsea namchapa bila hata wasiwasi lkn wasi wasi wangu anaweza mtoa Kolo akamleta Lovren!

BR ananikosesha sana raha kwa kweli

Pole sana my kaka,jana naona BR hakuziingiza bunduki zake uwanjani hope amezipanga vizuri kwaajili ya Chelsea,ila ole wake apoteze na hiyo mechi ijayo mbona atawakoma mashabiki,maana jana kwa alichokifanya mashabiki wanasema ni kama wametukanwa.
 
unapataje ujasiri wa hata kufikiria unamfunga chelsea...ukiwa huna beki ya kumzuia costa na hazard..achilia mbali oscar na willian..huna fowadi ya kuwatoa jasho cahill na tery na ivanovic..sioni BR akimzuia morinho
..ila emre can anatakiwa afanye dirty job ya kumzuia fabregas km alivyofanya fellaini...

Wote hao walicheza na QPR mkaokolewa na penalty ya ajabu!

Mmeanza kuigopa Liverpool sasa eheheheh
 
unapataje ujasiri wa hata kufikiria unamfunga chelsea...ukiwa huna beki ya kumzuia costa na hazard..achilia mbali oscar na willian..huna fowadi ya kuwatoa jasho cahill na tery na ivanovic..sioni BR akimzuia morinho
..ila emre can anatakiwa afanye dirty job ya kumzuia fabregas km alivyofanya fellaini...

Hao beki unazo zipa sifa kama ni nzuri ktk mechi 10 za ligi wameweza kulinda clean sheet moja tu na Leicester!

Chelsea wana beki mzigo
 
kuwa football manager ni kazi ngumu sana,namhurumia sana BR...he really wants his team to win games,unfortunately they don't! Yote kwa yote...I will forever stand by my team,LFC..kama tulipita ktk kipindi kigumu vile na nikawa na timu yangu pamoja,sioni cha kunivunja moyo though
 
Back
Top Bottom