Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Watu Na timu zenu Chelsea alishindikana msimu uliopita Suarez danny u will Never work alone song wote walikuwepo ,eti Leo achapwe kilaini mapenzi ni upofu



Waache wajilishe matango pori....! Wanafikiri Chelsea ni km Madrid....! Jana si walikua wamepaki bus na kwa Chelsea watajifanya kutoka kutafuta goli hapo sasa ndio watamjua Mourinho Kua ni nani....!
 
Damage limitations with this joke of players? Au anatafuta sababu akibamizwa bao 7 hapo Bernabeu aje kusema "we did not put out our strongest squad"?

amefanikiwa kaka....1-0 is respectable score at Bernabeu
 
Waache wajilishe matango pori....! Wanafikiri Chelsea ni km Madrid....! Jana si walikua wamepaki bus na kwa Chelsea watajifanya kutoka kutafuta goli hapo sasa ndio watamjua Mourinho Kua ni nani....!

na wewe kwa majigambo umezidi....mpira hauchezwi mdomoni nishakwambia sana....yale yale oooh man utd tutawapiga saba sijui tano mpira umeisha ukaanza kulilia penati...na kwa mdomo wako huo jumamosi utakuja kuadhirika....btw mechi hii yoyote akichapwa mimi kicheko tu
 
Kuna katimu flani kocha wake analia ati wakicheza home nikama wako empty stadium! Hivi anamaanisha nini vile?! Maana ukiangalia uwanja huwa umejaa nyomi kwelikweli!!!
 
na wewe kwa majigambo umezidi....mpira hauchezwi mdomoni nishakwambia sana....yale yale oooh man utd tutawapiga saba sijui tano mpira umeisha ukaanza kulilia penati...na kwa mdomo wako huo jumamosi utakuja kuadhirika....btw mechi hii yoyote akichapwa mimi kicheko tu


Kwani hawa LFC hawajigambi? Mi naongea Hali halisi kwamba hatuendi kupoteza huo Mchezo jumamosi..!


Alafu Ni kweli Refa alifanya makosa karibu kila mtu anajua hili.....!
 
Kwani hawa LFC hawajigambi? Mi naongea Hali halisi kwamba hatuendi kupoteza huo Mchezo jumamosi..!


Alafu Ni kweli Refa alifanya makosa karibu kila mtu anajua hili.....!

hahahahahah are u still on it???!!! tusubiri jumamosi,niko neutral let the best team win
 
Kwani hawa LFC hawajigambi? Mi naongea Hali halisi kwamba hatuendi kupoteza huo Mchezo jumamosi..!


Alafu Ni kweli Refa alifanya makosa karibu kila mtu anajua hili.....!

Inawezeka bado umelala ,hii ndo imalizie tujuwe
 
Unapowataja costa,hazard,wilian &co Kwamba tutashndwa kuwazuia INAMAANA HAO NI ZAID YA Benzema,cr7,isco,luka,kroos.bale&co??NIKUKUMBUSHE KDOGO TU TOKA SUPER CUP CR7 KAZFUNGA TIMU ZOTE ALIZOKUTANA NAZO MPAKA JANA PALE estadio de santiago bernabeu!
 
Hahahahah hawa Liva wanadandia mambo yasiyowahusu, na mimi nasema wapigwe tu, maana hakuna namna nyingine, Jumamosi nasikia mc wa sherehe ya magoli atakuwa Diego Costa kuhitimisha sherehe, kutakuwa na bufee ya nguvu, ufunguzi wa sherehe hii leo utafunguliwa na kina Christian...

Dah! mkuu, hii sherehe sio ya kukosa...

ngojea nimualike na charminglady pamoja na Eiyer...

i
 
unapataje ujasiri wa hata kufikiria unamfunga chelsea...ukiwa huna beki ya kumzuia costa na hazard..achilia mbali oscar na willian..huna fowadi ya kuwatoa jasho cahill na tery na ivanovic..sioni BR akimzuia morinho
..ila emre can anatakiwa afanye dirty job ya kumzuia fabregas km alivyofanya fellaini...

Kwa qpr mambo yalikuwa magumu ingawa mlitoboa, pia OT kiungo chenu kilimezwa.
 
Waache wajilishe matango pori....! Wanafikiri Chelsea ni km Madrid....! Jana si walikua wamepaki bus na kwa Chelsea watajifanya kutoka kutafuta goli hapo sasa ndio watamjua Mourinho Kua ni nani....!

Washabiki wa chelsea naona mnaanza kubweteka, hivi kweli nyie ni wazuri zaidi ya madrid???? Ebu acheni kujilinganisha eti unafikiri chelsea ni km Real madrid. Mnao mpira gani wa kujivunia? Seriously!
 
Kuna katimu flani kocha wake analia ati wakicheza home nikama wako empty stadium! Hivi anamaanisha nini vile?! Maana ukiangalia uwanja huwa umejaa nyomi kwelikweli!!!

Historia hailazimishwi, timu ndogo ni timu ndogo tu.
 
Waache wajilishe matango pori....! Wanafikiri Chelsea ni km Madrid....! Jana si walikua wamepaki bus na kwa Chelsea watajifanya kutoka kutafuta goli hapo sasa ndio watamjua Mourinho Kua ni nani....!

Sound like you scared now ehehehehe!Unapimana nguvu na Madrid kwake na soka linachezwa la uhakika ndiyo atusumbue Chelsea msaka tonge?
 
Bro utabili umeanza lini,au nihakataki za kuja hapa na kusema nilisema, Ngoja tusubiri jmosi labda utatimia

Mkuu
Majogoo wenzangu wanaogopa bure kabisa!Chelsea moto wao umepungua mno hasa kama umeziona mechi zao za hivi karibuni!

QPR alimsumbua sana Darajani!QPR wanashika mkia!!Chelsea hamfungi Kops Anfield labda BR alete upuuzi wake wa 4-2-3-1 lkn akichezesha diamond namfunga easy tu
 
Mkuu
Majogoo wenzangu wanaogopa bure kabisa!Chelsea moto wao umepungua mno hasa kama umeziona mechi zao za hivi karibuni!

QPR alimsumbua sana Darajani!QPR wanashika mkia!!Chelsea hamfungi Kops Anfield labda BR alete upuuzi wake wa 4-2-3-1 lkn akichezesha diamond namfunga easy tu


Naona unaanza kutafuta visingizio, humwamini kocha wako? Inaonekana huiamini timu yako. Achana na "labda labda" na "lakini lakini"....Subiri kipigo ndugu. Acha kujiandalia visingizio.
 
Back
Top Bottom