Ok hiyo reason wkt yupo lfc,Hata BR alimwambia hendo hvyo na alimwambia atafute timu but hendo alijibu atapambana kupata namba kikosini.Amelithibitisha hlo na ni naodha wetu msaidizi..!NIKIMUANGALIA BR KWA JICHO LA 3 NI UKWELI KUWA CAN ANAWEZA KUJA KUMPOTEZA HENDO NA MARKOVIC AND OR LALLANA KUMPOTEZA COUTINHO.NEXT SEASON BR ATAKUWA NA 8 AU 9 PLAYERS AMBAO AMEWASAJILI YEYE.
Tuta sumbua tena kwenye league season ijayo with Origi back...
Tuta sumbua tena kwenye league season ijayo with Origi back...