RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
....and ZERO EPL MEDAL....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchokozi wewe!!!!......Heri ya mwaka mpya mtani,ila jana mlikuwa vizuri sana mkaja kuharibu,lakini hongereni hata kwa hilo.
Cc: Malafyale
....and ZERO EPL MEDAL....
we have stars who havent won EPL but are well respected, did Gaza win it??
and we have crappy players like Luke Chadwick, Bebe, DjembaDjemba who won EPL
Messi na Ronaldo hawajawahi kushida world cup yet they are regarded as the finests
Lets cut the cr@p and salute Stevie for his achievement, he won UCL by taking Liverpool single handed, he won Europa, European super cup, FA, carling etc.
Stevie has been humble and never asked for skyhigh salaries like 300K per week...
If you can't appreciate Stevie, then you are one of those mediocre people who never appreciate others
Its sad situation, i used to respect you alot kama mwanamichezo but this one is hard to take
SG for Liverpool
Fukuza kazi BR hapo May mpe team SG na msaidizi wake Carra!
Macman na akina Owen rudisha kwenye kamati ya ushauri,Bruce mpe kama kocha wa makipa!!
Barca ilifanya hivi kwa kuwapa kazi wachezaji wake akina Pep na tulishuhudia Barca bora kabisa!Inzaghi kaifufua Milan na mifano inazidi kuendelea
whether u can take it or not....u respect me or not i just stated A FACT....he has never won EPL....i didnt say he is a mediocre player or whatever.
mkuu kumbuka newcastle walifanya hivyo hivyo kumpa Shearer timu ikamshinda.
It doesn't cost a penny to respect legends
and I DIDNT DISRESPECT HIM....i just stated the FACT.
Did Ronaldo Lima won CL?NOOOOOOOOOOOOO
Did David Villa won CL,World Cup,Euro,Pichichi,and list goes on?YESSSSSSSSSSS
Is David Villa even close to De Lima?Mwenye macho aambiwi tazama
SG pekee yake alibeba CL,na mwaka 2007 akaipelaka team fainali!Huyu mkongwe aheshimiwe RRONDO
you guys amaze me!!!! where did i disrespect him??? i just stated the obvious....HE HAS NEVER WON EPL....thats a fact NOT DISRESPECT.......
Asante sana kwa thread nzuri sana , ya club bora duniani
Hadi wanaacha soka De Gea,Jones,RVP na hata Falcao kama watazidi kung'ang'ania MAN U hawachukui CL ng'oo ehehehehehehehe
RRONDO namuonea sana huruma Janujaz pia!Huyu hadi anaacha soka hata EPL haipati labda ahame hapo ehehehe
ebu amka, naona bado umelala. Tuko 2015, sio 1970s-1980s.
Ebu amka, naona bado umelala. Tuko 2015, sio 1970s-1980s.
mkuu kumbuka newcastle walifanya hivyo hivyo kumpa Shearer timu ikamshinda.