Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Swala la kumrudisha teenager kutoka kwenye mkopo eti ndo aje kuwa ''suarez'' ni kumchosha tu Ibe. BR kafanya blunder kwenye summer transfer window kama alikuwa na shida na striker kama back ni bora angemrudisha aspas kuliko kumleta lambert na kwenye beki kwa game nilizo muona tiago illori alizocheza spain (grenada) he is far better than lovren,sakho,toure na skrtel funny enough he was loaned to bordeaux where he has just played only 4 games.

Kwasasa timu inahitaji striker mwenye pace and can hold the ball upfront waiting for support from his team mates, i was thinking these two guys would have been good addition (jackson martinez or Luiz adriano wa shankhter) ila we are being linked na jermaine defoe(lambert v.2)

Halafu hizi ngojera zake kuwa hakuna striker sokoni hatutaki hakuna timu inamuweka mchezaji sokoni kama anaperform vizuri kama vipi tuendelee hivi hivi na kina balo na lord lambert mpaka msimu unaisha

kwa issue ya gerrard(thanks for the memories, that header 2005 and those two beautiful goals in 2006) mi naona its a high time for him stay aside mi ningependa astaafu soka akiwa liverpool ila kaamua mwenye kwenda kwingine(japo maneno yake yanaonyesha ni kutokukubaliana na BR na owners) ndo wakati wa kutengeneza timu kwenye defensive midfield akae Emre Can/Lucas na Henderson

Well said Mkuu..

Ila SG was pushed OUT by FSG..
 
Ssa mbna alonso ndie bora aliekamilika kuliko sg na mbaka kwenye acount y tweet y sg kasema alonso ndie pass master wake

Kuna watu wameanza kumuona SG kaisha fika miaka 30 nahisi!
Mwaka 2001 fainali ya Europa League na Alaves huko Dortmund dakika ya 16 SG akiwa na miaka 20 tu alifunga enzi hizo Alonso wala hajaanza kucheza ana miaka 10 na kidogo tu!Huyu mtu hajawahi cheza kombe uwanjani ASIUNGE! MosDef watu hawamjui huyu mtu alipokuwa kwenye mid 20!Niliwahi safiri toka kazini Geita kwenda kumuona Anfield mwaka 2006

Kikosi kilichotwaa Europa cha Liverpool hiki hapa,yuo wapi hapo Alonso?

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="width: 40%"]
GK1 Sander Westerveld
RB6 Markus Babbel
10px-Yellowcard.svg.png
106'
CB12 Sami Hyypiä (c)
CB2 Stéphane Henchoz
10px-Sub_off.svg.png
55'
LB23 Jamie Carragher
RM21 Gary McAllister
10px-Yellowcard.svg.png
11'
CM16 Dietmar Hamann
CM17 Steven Gerrard
LM13 Danny Murphy
CF8 Emile Heskey
10px-Sub_off.svg.png
64'
CF10 Michael Owen
10px-Sub_off.svg.png
78'
GK19 Pegguy Arphexad
DF27 Grégory Vignal
DF29 Stephen Wright
MF7 Vladimír Šmicer
10px-Sub_on.svg.png
55'
MF15 Patrik Berger
10px-Sub_on.svg.png
78'
MF20 Nick Barmby
FW9 Robbie Fowler
10px-Sub_on.svg.png
64'

[TH="width: 25"][/TH]

[TD="colspan: 3"] Substitutes: [/TD]

[TD="colspan: 3"] Manager: [/TD]

[TD="colspan: 4"] Gérard Houllier [/TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Last edited by a moderator:
Ssa mbna alonso ndie bora aliekamilika kuliko sg na mbaka kwenye acount y tweet y sg kasema alonso ndie pass master wake

Fainali ya FA na WHU mwaka 2006 tukiwa nyuma kwa bao 3-1 huyu SG alicharuka na kusawazisha na kuwa MAN OF THE MATCH!Ndiyo mechi hii nikiiangalia home Geia nikaapa lzm nikamuone SG kwa macho yangu,nikazichanga na kweli mwezi September nikawa Anfield!

Hii na CL MATCHES zitabaki kama kumbukumbu yangu kwa jemedari huyu alipokuwa na nguvu zake!Mechi hizi zote Alonso alicheza lkn mchango wake haukufikia hata nusu kwa SG aliyeteuliwa man of the match ktk games zote mbili!Na WHU Alonso alitolewa mapema tu

kikosi cha Liverpool na WHU fainali ya FA hiki hapa

GK25 Pepe ReinaRB3
Steve FinnanCB23
Jamie Carragher
10px-Yellowcard.svg.png
62
'CB4 Sami HyypiäLB6
John Arne RiiseRM8
Steven Gerrard (c)
CM14 Xabi Alonso
10px-Sub_off.svg.png
67'
CM22 Mohamed SissokoLM7
Harry Kewell
10px-Sub_off.svg.png
48'
CF15 Peter Crouch
10px-Sub_off.svg.png
71'CF9
Djibril Cissé
Substitutes:GK1 Jerzy DudekDF2 Jan Kromkamp
10px-Sub_on.svg.png
67'DF21 Djimi TraoréMF16 Dietmar Hamann
10px-Yellowcard.svg.png
118'
10px-Sub_on.svg.png
71'FW19 Fernando Morientes
10px-Sub_on.svg.png
48'Manager: Rafael Benítez
 
Absolute nawaza sasa hawa akina Nzi hawakumuona SG kuanzia mwaka 200-2009!Wameanza kumuona nahisi kaisha ingia 30!Ilikuwa kila uhamisho ukikaribia Liverpool inakataa offer kibao!Nani alihangaika kuja kwa Scholes?

Kweli Carrick ambaye hata ku make national team WC na Euro alishindwa umfananishe na SG ambaye kuumia kwake 2006 na kukosa WC Waingereza walichanganykwa?

Wameanza kumuona SG kazeeka tayari hawa!He was the man of big match;HAMNA SIKU KOMBE LIPO UWANJANI ALISHINDWA KUFUNGA!Rekodi hii sijui itavunjwa lini na nani!!
Fainali ya 2007 Gerrard alifunga goli ?

Nimeshakueleza streghth aliyokuwa nayo Gerrard ni kuwaongoza na ku-motivate wachezaji wenzake.Hii issue wengi wanakuwa blinded na ushabiki.Nakumbuka even fainal ya Instanbul Benitez alicheza blunder kumuweka bench Didi Hamman Liverpool ilikufa kabisa katikati Milan wakafunga goli 3 haraka Rafa aligundua mistake second half akamuingiza Hamman akabadilisha kabisa game ndio akamfanye Gerrard awe free goli zikarudi
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Fainali ya 2007 Gerrard alifunga goli ?

Nimeshakueleza streghth aliyokuwa nayo Gerrard ni kuwaongoza na ku-motivate wachezaji wenzake.Hii issue wengi wanakuwa blinded na ushabiki.Nakumbuka even fainal ya Instanbul Benitez alicheza blunder kumuweka bench Didi Hamman Liverpool ilikufa kabisa katikati Milan wakafunga goli 3 haraka Rafa aligundua mistake second half akamuingiza Hamman akabadilisha kabisa game ndio akamfanye Gerrard awe free goli zikarudi

By the way hapo nilitaka kuandika "SG akifunga hatukuwahi kupoteza game kwenye fainali"
Belo huyu jamaa kawa man of the match kwenye fainali za Liverpool ina maana zote hizo wanampendelea?Wanao mchagua nao wapo blind?

Huyu katupa ubingwa mara ngapi?Acha hizo mkuu na sichangii tena mada hii!Nenda kwenye archieve kaangalie fainali ya FA mwaka 2003 na Man United ambapo SG yupo kwenye fire alipo waongoza akina Owen!

Thread yetu ya Liverpool sasa tujadili mengine
 
AFC Wimbledon Vs Liverpool

Liverpool:
Mignolet
Sakho; Sktel;Can
Manquillo;Henderson;Lucas;Markovic
Gerrard;Lambert;Coutinho
 
Malafyale umenifurahisha Sana..LFC wamepita kina Daglish, Kina Ian rush etc..lakin when you talk about LFC unamuongelea mtu mmoja tu SG..
 
Last edited by a moderator:
Siamini.kama jamaa anasepa aiseeee MosDef
 
Last edited by a moderator:
Siamini.kama jamaa anasepa aiseeee MosDef

Kaamua kuondoka bhana..

Alistaafu kuichezea ENGLAND ili afocus zaid na LFC, lakin mpaka November last year FSG hawakumpa mkataba wowote ule mpya..

Ameona aondoke tu LFC..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom