Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimefika nashukuru sana ..


We mke wangu unatafuta nini huku? Unakuja kujipa plesha kwa kushabikia timu ya kawaida!

mke wangu njoo kule kwa chelsea mamito..............alafu ujue nimekumiss sn na leo nakuja hapo kwenu ukinifunga ujue ndoa yetu inakufa.
 
Look

Karibu sana hapa,jisikie huru kabisa kutoa mawazo au maoni kuhusu The Greatest Soccer Club in mankind history-Liverpool.

Hapa kwetu kuna demokrasia ya freedom of writting.Hapa hatuminyi haki za wengine kama kule Darajani ambapo Ntuzu au agosti 8 au Manumbu au kalon lzm UWAOMBE ruhusa ili uandike chochote hata kama ni positive kuhusu club yenu!

Hapa sio kama kwenye jamvi la Man U ambapo kuandika lzm uwe approved na RRONDO au Nzi! Hapa kuwa huru sio kama lile jamvi la akina Mentor au Wacha 1 ambao huko kwenye jamvi lao ni kama Miungu Watu hawapingwi kwa lolote lile

Karibu sana dada na anza kutiririka!Ukipata nafasi kufika Ikwiriri nitafute japo nikufungie samaki vibua ukafanye nyumbani kitoweo

Basi mkuu uwe unasema ukweli ata km ukiona mwanamke..........sasa unamtia makamba yote hayo kwasababu umeona mwanamke? Huyu miss chagga darajani ni nyumbani kwake kwasababu mimi mme wake niko pale alafu huyu mke wangu anampenda sn Claudio Makelele..........muulize uone atakavo kujibu.

miss chagga ujue nimekumiss sn....
 
Last edited by a moderator:
We mke wangu unatafuta nini huku? Unakuja kujipa plesha kwa kushabikia timu ya kawaida!

mke wangu njoo kule kwa chelsea mamito..............alafu ujue nimekumiss sn na leo nakuja hapo kwenu ukinifunga ujue ndoa yetu inakufa.
huna hela ..... tunakufunga
 
Basi mkuu uwe unasema ukweli ata km ukiona mwanamke..........sasa unamtia makamba yote hayo kwasababu umeona mwanamke? Huyu miss chagga darajani ni nyumbani kwake kwasababu mimi mme wake niko pale alafu huyu mke wangu anampenda sn Claudio Makelele..........muulize uone atakavo kujibu.

miss chagga ujue nimekumiss sn....
mume wangu ni kweli nampenda ila siku hizi simuoni... drogba wamemuweka bench eti
 
mume wangu ni kweli nampenda ila siku hizi simuoni... drogba wamemuweka bench eti

Drogba alikua majeruhi kidogo lkn tayari ameanza kufanya mazoezi na timu ila ktk mchezo wetu na nyie leo sizani km ataweza kucheza.............kwahiyo unampenda sn Drogba kuliko mimi mumeo?
 
Drogba alikua majeruhi kidogo lkn tayari ameanza kufanya mazoezi na timu ila ktk mchezo wetu na nyie leo sizani km ataweza kucheza.............kwahiyo unampenda sn Drogba kuliko mimi mumeo?

nakupenda wewe ila drogba kikubwa.. yani leo liverpool morinyo atachezea kiuno... si najua zetu za mbio mpaka ulimi nje mnatoa
 
Ni kweli gari linaonekana kuwaka lakini still tunaitaji stricker anayeweza kufunga na co vinginenyo,kumtegemea ds kwa kuwa amekaribia kurudi sio solution kwan kwake kuwa majeruhi ni laisi kuliko kuwa majeruhi!since tunatengeneza shorts on target chache we need a clinical finisher ndg zangu unless otherwise sterling,cout,marcovic,hendo &even lucas l inawalazimu waanze kufunga na co may be moreno&skretel from the back!lallana ni msahada mzuri but naye miguu mibovu..!tushinde game 5 mfululizo natumai tutakuwa in top 4 bila wasiwasi wowote.
 
Wazima wote humu,hongereni kwanza kwa ushindi mfululizo atleast lakini bado mmeng'ang'ania kuwa mtaa wa 8,Leo ndo leo siku ya hatumwi mtoto dukani ni nani mbabe leo? Ni LVP or The blues,haya mimi ntakuwa pembeni nawasindikiza watani wangu na kikombe cha kahawa na popcorn za kutosha,kila la heri watani wangu natumai mcheza kwao hutunzwa hivyo hamtawaangusha mashabiki wenu.
Cc: Malafyale Ed n Edd nEddy Asprin EMT
 
Last edited by a moderator:
Wazima wote humu,hongereni kwanza kwa ushindi mfululizo atleast lakini bado mmeng'ang'ania kuwa mtaa wa 8,Leo ndo leo siku ya hatumwi mtoto dukani ni nani mbabe leo? Ni LVP or The blues,haya mimi ntakuwa pembeni nawasindikiza watani wangu na kikombe cha kahawa na popcorn za kutosha,kila la heri watani wangu natumai mcheza kwao hutunzwa hivyo hamtawaangusha mashabiki wenu.
Cc: Malafyale Ed n Edd nEddy Asprin EMT
everlenk hawa Losers lazima niwapige hapo hapo kwao leo..............we kaa utulie utaona sisi ndo the blues mamito.
 
Last edited by a moderator:
Liverpool fc haiwezi kufungwa na hawa ng'ombe waliofungwa goli 5 na timu kama SPURS,,,,,!!!
 
everlenk hawa Losers lazima niwapige hapo hapo kwao leo..............we kaa utulie utaona sisi ndo the blues mamito.

Mimi yangu macho na masikio tu.....kule jukwaa lako nimekuachia ujumbe wako pia,kila la heri.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom