Kama kawaida Liverpool only shows up wakicheza na Man Utd..Poleni kwa kutolewa anzeni kujiandaa kwa kuqualify next season.
Yaitwa kukamia.....na nimependa kauli hii ya Dungshit, 'Lack of flair cost us'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kawaida Liverpool only shows up wakicheza na Man Utd..Poleni kwa kutolewa anzeni kujiandaa kwa kuqualify next season.
What are you trying to say?! You mean we don't show up when we play others like Chelsea or??? Asante kwa kutupa pole!!!Kama kawaida Liverpool only shows up wakicheza na Man Utd..Poleni kwa kutolewa anzeni kujiandaa kwa kuqualify next season.
Kama kawaida Liverpool only shows up wakicheza na Man Utd..Poleni kwa kutolewa anzeni kujiandaa kwa kuqualify next season.
i will definitely walk alone with you sweetie.... At the park near park lane.....mtm na team poleni sana kwa game ya jana..huruma hiliyokuwa nao nilitamani mfunge;-)) mwaka huu naona sio wenu kabisa, you will definitely walk alone🙂)))
Guys.......... hebu tuwe realistic kidogo.
Huu kwetu ni mwaka wa shetani na hatutegemei lolote zaidi ya kujenga timu, whatever happen to us is just a bonus
I am just saddened na team which was on trebble just a month ago to be on one cup ati na wao wanatucheka
wacha.... you may end up with nothing this year as well... na huwa tunasema "ALMOST DOESNT COUNT
THINK ABOUT IT
WE HAVE SHOWN KWAMBA WE ARE ON THE RIGHT TRACK NA WE RECRUITED BETTER MEMBERS THAN BEFORE
MTM na team poleni sana kwa game ya jana..huruma hiliyokuwa nao nilitamani mfunge;-)) mwaka huu naona sio wenu kabisa, you will definitely walk alone🙂)))
Kama kawaida Liverpool only shows up wakicheza na Man Utd..Poleni kwa kutolewa anzeni kujiandaa kwa kuqualify next season.
What are you trying to say?! You mean we don't show up when we play others like Chelsea or??? Asante kwa kutupa pole!!!
Guys.......... hebu tuwe realistic kidogo.
Huu kwetu ni mwaka wa shetani na hatutegemei lolote zaidi ya kujenga timu, whatever happen to us is just a bonus
I am just saddened na team which was on trebble just a month ago to be on one cup ati na wao wanatucheka
wacha.... you may end up with nothing this year as well... na huwa tunasema "ALMOST DOESNT COUNT
THINK ABOUT IT
WE HAVE SHOWN KWAMBA WE ARE ON THE RIGHT TRACK NA WE RECRUITED BETTER MEMBERS THAN BEFORE
i will definitely walk alone with you sweetie.... At the park near park lane.....
Wacha udaku na wewe shangilia waliowatungua wamepigwa magoli hakuna unafiki hapa!
BTW bado tinachubiri mng'oane mapengo na Chelsick na MTM amwondoe Tor the res .... ...
Its on...
just follow the beeNaona mmebebwa hapo ni hiyo ya maguu 12 khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
just follow the bee
Mkuu, hakuna anayekataa kuwa tumekuwa na msimu mbaya. Lakini unapoongelea 'big teams' inashangaza kweli!! Who are BIG TEAMS unapoongelea EPL???A dinosaur club, hawana issue zaidi ya kukamia wanapocheza na big teams.
Shukrani mkuu!!!!Hongereni wakuu naona mnawanyatia Chelsick na mancs bila kuwasahau Spuds.