Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

we nae ***** tu FA wenyewe hawana huhakika na na walifanyalo Liverpool fans tunamsapoti Suarez

Wacha fujo wewe hujasoma angalizo ... ... .... ..khe khe kheeeeeeeeeeee mwaka huu utabadili sana majina ... ....



SUAREZ-SPLASH_1408402a.jpg



.... in a nick of time ... .... .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wacha1, mbona unajaribu kumhukumu Suarez kabla hata hajawa convicted? Wewe ungekuwa ndo hakimu nadhani ungehukumu anyongwe bila hata kusikiliza kesi yake.
 
Wacha1, mbona unajaribu kumhukumu Suarez kabla hata hajawa convicted? Wewe ungekuwa ndo hakimu nadhani ungehukumu anyongwe bila hata kusikiliza kesi yake.

Mkuu sijamuhukumu kama unavyodai FA wamemfanyia charge ndio utaratibu huo, na siku ya siku hukumu itatoka kutokana na ushahidi. Katika mazingira ya kawaida FA huwa hawafanyi charge hadi pale wanaporidhika na uchunguzi wao chacha ndio nachema mpira upo kwa Loserfools na Suarez kukubali charge au kukataa. Unapokataa charge na ikagundulika unadanganya adhabu huongezwa chacha chichi chubiri tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
That is wat i called upon....
Hii movie tamu sana, kuna watu wanakula matapishi yao humu.
 
reina_12_682x400_1409574a.jpg



NOT MISSING YOU AT ALL ...
Pepe Reina feels Luis Suarez is even better than Fernando Torres
 
tupo wenyewe naona Tanesco washachukua chao ngoja nikimbilie Bar.
 
Dah! Huyu drogba kwa faulo za vile noma, kidogo atulize halafu Reina alikuwa amesimama tu..
 
Liverpool, this season, have scored 14 goals in the EPL. Only 1 goal more than RVP. 28-58 Over
 
Back
Top Bottom