Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

January tungemchukua huyu jamaa aongeze nguvu japo ni 27 years
Screenshot_20231024-144440.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] U r sworn Nunez critik haijalishi acheze vipi na dakika ngap wwe umo kumdiss unless unasahau hata huyo Salah kuna wakati humu almost aliboa sana kwa ule uselfishness wake kiasi Mane alichukia live bila chenga lakini Klopp hakuwai kumtia benchi mbali muda wote akiwa mzima ni wa kupangwa na hilo lilichangia dogo Mo kua na consistency ya kufunga ama kutengeza magoli kwa wengine na hilo ndio binafsi nataka nione kwa Nunez akipewa dakika za kutosha uwanjani 1st 11 sio hizi patches...
Huyo Halaand hata asipofunga hutakaa umuone benchi yeye yumo kwa kua Kipara ana imani ila kwa Klopp ni vice versa yeye ana watu wake anaowaamini lazima wawe 1st 11 regardless wana form ipi wao wamoo tu 1st 11....yalimkuta Fabinho alivyotua Liverpool na pia Robertson yalimkuta pia hivyo dogo Nunez ajitume tu hakuna namna japo kwa strika dakia nyingi uwanjani ndio chance nyingi za magoli hana jinsi hizo hizo dakika anazopata kitaeleweka.

YNWA

Nunez Nunez Nunez

Boy will hit not far
 
Uwepo wa Edu pale Arsenal kumhitaji huyu dogo kunaweza kuharibu mambo aisee lakini nina imani kwa kua dogo alishapewa dodoo za kumhitajika kutua Liverpool.... Itakua combination ya nguvu sana Dominic Andre Gravenberch...

Ni suala la muda kwa kua klabu yake ndio walihitaji huu usajili usongezwe mbele na Liverpool wakasema poa.

YNWA

Naam. Ila option zilikuwa mbili
1. Mchukueni sasa na mtoe £39M
2. Muacheni mpaka january mje mumchukue kwa £19M.

Klopp na rafiki yake Jorg wakaona better January hapa tutamtumia Macca, Jones, Thiago, Bajcetic bahati mbaya hesabu zimekataa kabisaa.!!! Kwa hiyo kwa sasa ni 3 points kwanza, mengine tutajuana mbeleni huko.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pale hakuna Gunners ya 03/04 sio rahisi tena aisee ligi ushindani upo next level na pia mechi zimekua nyingi balaa na rate ya majeruhi is next to none...
Manchester City advantage ya upana wa kikosi unambeba sana aisee tazama hawapo KDB na Grealish lakini flow ya mpira na idea za Kipara zinakua well worked out haijalisha kama wanashinda lakini the identity is there to see press make the field as small as possible n attack in numbers defend in numbers that th concept ya Kipara na hana uoga to speak his mind mchezaji akipoteana lakini kwa Klopp yeye muda wote anabemba lawama yeye na hana ujasiri kujaribu na wachezaji wapya anaonunua baadhi inawachukua almost msimu mzima au zaid kua incorporated kwenye 1st 11...na hii inachangia by th time tufike February wachezaji wanakua hoi bin tabaan na hapo ndio sare ama vipigo vinaanza na kumpa nafasi Kipara kufanya yake...

Kumpidua Kipara we need luck with injuries pia.

We are one player away yaaani akitua tu a proper DM pale then we are sorted to go after whoever is in front...

YNWA

Ukiwa na depth pressure is not your friend.
Remember 2021/2022 tulivyopunguza gap la 12 points to 1 point kwa kipara? Ongezeko la Diaz tu na MFs zilikuwa na fitness, mpaka Klopp aliulizwa do you now enjoy the depth unlike other seasons? Ilikuwa raha kweli.

Hata msimu huu kuna kadepth japo haina quality ki viiiile but better than last season.

Know u see Elliot akiingia unaona huge changes, Gakpo Jota wakianzia bench unaona watu wameingia kubadili mchezo. January wamchukue LCB & DM (Andre). Hapo tunaweza kukimbizana na kipara
 
Klopp ana makengeza ujue.. Kwamba hakuona ile defence inahitaji kuongezewa watumishi/mtumishi ni maswali mengi bila majibu... VVD sio yule wa miaka hio, Konate is made of Indian biscuits hawezi kukupa 10 intense games in row.. Matip haeleweki siku unategemea akupe kazi kazi ndio huyoo ananchemka na mabeki wa pembeni all have been said...
January ingekua jambo la heri kuona FSG wakiingia sokoni kuleta beki wa beki precisely anaetumia nguu wa kushoto itakua added advantage.. Tunaemkimbiza Kipara suala la ulinzi hua hatanii kabisa dirisha lilioisha ametoa zaidi ya £50m kumsajili 'Gravidol' na dalil ni amewaongeza ubora...

Mpaka pale FSG wataacha kuona kama uwepo wa Klopp unatosha ndio wataachia ma pesa za usajili


YNWA

DM & LCB are highly needed no debate about it.
 
Sio kwambq tuvuje benki kwa Khavicha ndugu.... Left footed pure Salah heir.

YNWA

Ujue kupata like to like Salah’s replacement ni ngumu. Ishu ni kumpata mtu mwenye consistency ya afya ya mwili na akili na awe walau anakupa 25+ G/A. Hapa ni suala la Klopp mwenye kubadili na mifumo ili kuyapata magoli miguuni mwa mchezaji husika.
 
Sio kwambq tuvuje benki kwa Khavicha ndugu.... Left footed pure Salah heir.

YNWA

Ujue kupata like to like Salah’s replacement ni ngumu. Ishu ni kumpata mtu mwenye consistency ya afya ya mwili na akili na awe walau anakupa 25+ G/A. Hapa ni suala la Klopp mwenye kubadili na mifumo ili kuyapata magoli miguuni mwa mchezaji husika.
 
Mi nilikuwa nafikiria hvyo kwasababu hela yake ni ndogo, ila tukimpata huyo jamaa itakuwa poa sana sasa sijui kama FSG wataitoa hela ya huyo Khavicha maana ninahisi yupo ghali sana sokoni

Of course ila haiizidi £70M ni affordable and he is only 22yrs good deal kama tukiamua kuingia mazima kwa ajili ya mbadala wa Salah. Jamaa goals and assits he is good atleast 20+ G/A per season anafika
 
Huyu Ryan Gravenberch ni swala la muda ila ana vitu vingi vya kutuonyesha


⚽️62 mins,
🥉31/32 succesful passes,
🎱 97% accuracy,
🧿1 chance created,
🎯2/2 succesful dribbles,
♦️7 recoveries, 3 interceptions,
♣️ 6/8 ground duels won.
View attachment 2788734
Kocho anatia mashaka kumharibu viwango vya baadhi ya wachezaji.
Kumpanga mchezaji nje ya nafasi yake bilazarula ni kumvuluga kiakili.

Kama yule beki 3 gem ya kwanza kukaza anatolewa na hakuna mbadala inabidi awe na roho ngumu kubaki mchezoni kiukweli

Endo ndo haaminiki mana bola namba 10 acheze 6 kuliko yeye.
Wengi tunaangalia mafanikio bila ya kujali tunayatolea jashi kiasigani Kuna baadhi ya gem hatutakiwi kutoa jasho kabsaa ila ndo hivyo
 
Back
Top Bottom