Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

10 itapendeza mwaka huu

Yaani mimi binafsi nitajisikia vizuri na utoshelevu tukiwapiga 10
mkiwapiga wakina nani nyinyi liverp*umbu amka kwenye usingizi uo bidada mmetuzoea sasa kesho tunataka tuwaoneshe surprise kidogo.

tutawashangazaa
20221009_183938.jpg
 
Kiukweli hakuna mechi naisubiri Kwa hamu kama mechi yetu na kesho dhidi ya wale nyumbu



Kesho hadi makengeza Nunez atawaeeka mabao ya kutosha[emoji91][emoji91][emoji91]

Yaani kesho ni kesho
Asiye na Mwana aeleke jiwe[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mungu atupe nini tena? Kileleni kuna baridi! Ngoja kwanza kesho tukawatikise shanga za kiunoni hawa busby bbbes wa mchongo! YNWA..
 
Mungu atupe nini tena? Kileleni kuna baridi! Ngoja kwanza kesho tukawatikise shanga za kiunoni hawa busby bbbes wa mchongo! YNWA..
Mechi tatu ngumu ndani ya siku 7..
Nna wasiwasi ya arsenal tutadondosha point
 
tunatakiwa tuwe makini Sana mechi ya kesho tusiingie tukiwa overconfident maana Kuna kombe la Ligi tulishapoteza kwa kudraw na Man u wakti wakiwa wako hoi na sisi tulikuwa vizuri Sana(ilikuwa OT)

Game ya arsenal nayo tunatakiwa tuwe makini kupitiliza tukishinda hiyo the future is Bright....Mungu atatupitisha January salama kama tukisajili
 
tunatakiwa tuwe makini Sana mechi ya kesho tusiingie tukiwa overconfident maana Kuna kombe la Ligi tulishapoteza kwa kudraw na Man u wakti wakiwa wako hoi na sisi tulikuwa vizuri Sana(ilikuwa OT)

Game ya arsenal nayo tunatakiwa tuwe makini kupitiliza tukishinda hiyo the future is Bright....Mungu atatupitisha January salama kama tukisajili
Anfield pamoto mkuu,hao watapiga kelele lakini sio hapo anfield.msimu huu mpaka sasa tumeshinda mechi 7 zote na wastani wa goli 3.tunajua mpira unadunda sio hapo anfield ,kuna kipindi tulikaa miaka 4 hatujafungwa hapo.
 
Mechi tatu ngumu ndani ya siku 7..
Nna wasiwasi ya arsenal tutadondosha point
Umeanza kuangalia mechi za liverpool lini mkuu? Arsenal ana mwaka wa 12 hajawahi kutufunga anfield pale,msimu uliopita walikuwa na nafasi hiyo wameshindwa kutufunga licha ya kuongoza kipindi cha kwanza goli 2 bila,hizo timu kubwa zote hazina ujanja pale anfield,aston villa watu wanashangaa tu ,tulichomfanya ,anfield tumeshinda mechi7 zote mpaka sasa.
Hata wapinzani wanapaogopa kwa sasa.
 
Wanao mfananisha Halland na Nunez, kiukweli usimfananishe Halland na vitu vya kijinga
 
Umeanza kuangalia mechi za liverpool lini mkuu? Arsenal ana mwaka wa 12 hajawahi kutufunga anfield pale,msimu uliopita walikuwa na nafasi hiyo wameshindwa kutufunga licha ya kuongoza kipindi cha kwanza goli 2 bila,hizo timu kubwa zote hazina ujanja pale anfield,aston villa watu wanashangaa tu ,tulichomfanya ,anfield tumeshinda mechi7 zote mpaka sasa.
Hata wapinzani wanapaogopa kwa sasa.
Kudondosha point sio lazima kufungwa...hata draws ni kudondosha point...
Kwamba arsenal hawezi force hata draw Kwa wachezaji ambao hawaja recover ..masaa 72 kama inavyotakiwa?
 
Oyaaa nyie livakuku. Kule kwa manyumbu wanasema eti leo watawakanyaga na kuwagaragaza. Wanasema eti kuku hajawahi kumzidi nyumbu na eti leo watawaonyesha kuwa nyie ni kideri squad tu na hamna lolote.
 
View attachment 2843693
Ikiwa wewe ni mtu wa mpira utakuwa umeelewa jambo hapa..!!! Ni vile tu mmeamua kuuchagua upande.

Stats are not about numbers, you've to interpret them.
- Man City this season wekuwa wakisuasua you known it, right? This means Halaand is out of form this season he's struggling alot lakini hata hivyo ana best Conversion rate compared to Nunez ila umeamua kuleta Stats zile zinazofavour ulichokitaka.

Why usilete goal scored ya Nunuze vs Halaand?

So, poor performance ya Halaand haiwezi kuhalalisha tukubaliane na ubovu wa Nunez.

Ni same na kusema Onana mbovu hivyo na sisi hatupaswi kulalamika Alisson mbovu si ndiye fellow Kop?
 
Back
Top Bottom