King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Sasa hapo nunez chance missed 15 goals 4
Halaand 17 goals 10
Interpretation ya takwimu ndiyo tatizo lake hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo nunez chance missed 15 goals 4
Halaand 17 goals 10
Oyaaa nyie livakuku. Kule kwa manyumbu wanasema eti leo watawakanyaga na kuwagaragaza. Wanasema eti kuku hajawahi kumzidi nyumbu na eti leo watawaonyesha kuwa nyie ni kideri squad tu na hamna lolote.
mechi moja unahukumu mchezaji mkuu?Uwe unaangalia Mpira pamoja na wanaojua mpira wakueleweshe baadhi ya Vitu muhimu.
Kafuatilie ratiba ya LFCTV ujue muda wa kurejewa kuoneshwa game yetu dhidi Crystal Palace umuone kitasa wako umpe mauwa.
kuwatimua ni kuvunja mkataba naoIfike wakati wachezaji wanaokula mshahara wa bure tuwatimue
Thiago nadhani umri unachangia hawezi kucheza mechi 20 mfululizo ataumia tu kidogo then atacheza kidogo aachwe ..!
Matip muda wa kumtema umefika mwishoni mwa msimu aachwe ..
Nunez asipojiangalia tutafuteni mwengine
kama kawaida madamTunashindaje moja?
Mitano[emoji110] tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
ahah dah ilaTumeshawaandalia vya kujifutia machozi [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]View attachment 2844234
hawezi kukipanga hiviPossible lineupView attachment 2845314
Tunawaongezea mengine mawili
mechi moja unahukumu mchezaji mkuu?