King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Tuliambiwa bila ya Salah tutapoteana haya hesabu inaanza sasa bila ya Salah 👇
1) Arsenal kafa kwake ✔️
2) ........
1) Arsenal kafa kwake ✔️
2) ........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bila VVD beki kisiki.Tuliambiwa bila ya Salah tutapoteana haya hesabu inaanza sasa bila ya Salah 👇
1) Arsenal kafa kwake ✔️
2) ........
Tuliambiwa bila ya Salah tutapoteana haya hesabu inaanza sasa bila ya Salah [emoji116]
1) Arsenal kafa kwake [emoji3581]
2) ........
Good analysisArsenal walipaswa kumaliza mechi kipindi cha kwanza ila utoto ukawa mwingi. Walitukamata sana hatuwezi kufanya build up kwa uhuru. Jurgen knew it. Akamrudisha Elliot MF, Diaz akaenda RW kidogo tukaanza kubreak lines zao. Walipoingia Jota na Graven tukawafungua vya kutosha.
My MOTM, ni Konate kuanzia kipindi cha kwanza. Alimcover TAA vya kutosha alijipanga vizuri sana as a senior CB. Kudos kwa Jarell Quansah jamaa mtulivu mno no pressure with and without the ball. Toka siku ya kwanza nilimkubali Quansah na anaendelea ku improve sana.
Connor Bradley aisee he came in and pocketed Martinelli 99.99%, shut him down hatari zote za Martinelli akazizima. Nafikiri Bradley anazidi ku improve kwa kadiri anavyocheza. May be atamuhamisha TAA into the MF coming days.
Bobby Clark, boy come in and add energy into our MF.
Leo kitu kizuri kilichoniacha hoi ni kucheza na namba sita wa tatu nyakati tofauti ambao sio sita kwa asili and we still have managed to hold them.
Alianza Macca, akatoka Macca akacheza Jones, akatoka Jones akacheza TAA.
Kuna muda mkiwa vizuri mambo huwa yana flow tu yenyewe.
Kudos to Klopp na vijana wake.
Next Carabao Semi Final at Anfield, vs Fulham.
YNWA
😅😅😅😅 tunaumia sana. Ile laana ya yule kenge naona imetufikia na inatupiga haswaaa
sijawahi kuona kocha mjinga kama kocha wa England National teamGoing back 7 years no one would have predicted TAA to become what he's become. A complete player, injury free and versatile.
Ni mchezaji ambae hakosi namba kwenye team yoyote duniani. Ana offer vitu vingi sana.
Saahizi watu wanajipigia tu. Pongezi zimfikie west ham kwa kuzibua mtaro, saahz raia wanajifiria tu
Wee Jamaa naona umetoroka sober houseSisi kwa sasa tunajenga timu. Mumesahau kile kipindi cha Brendan Roja..starika ni benteke.. Carol, kipindi kile mukipambana sana ni nafasi ya nane saba.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mumepitia msoto Kilopu amekaa misimu minne bila kombe lolote kajenga timu saivi munaleta dharau [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Naona wengi mikopo imekatishwa na Liverpool January hii sielewi ilikua na impact dogo sana huko walikokua au niaje kasoro Owen ambae ni Klopp ameseme arudi kukava LB..Good analysis
First half tulipwaya
Tuna watoto wazuri sana
Ngoja tuone timu ya Dunia Arse8 inavyoanza EP ligi January,kama jinsi mlivyosema wazee wa kufocus.😅😅😅😅 tunaumia sana. Ile laana ya yule kenge naona imetufikia na inatupiga haswaaa
Dah
Asenane Leo wanyonge sana mtaani
Tuombeeeeeeeeee
Weka na hawa hapoKlopp akitulia analicheza draft vizuri.
1st half Arsenal’s high pressing was on point. Jamaa walituziba wakakaba kila njia bila kupumua, build up from the central ikawa ngumu. Tulishindwa kuanzisha mashambulizi in both way option ikabaki kutumia long balls zaidi bado haikuwa mwaronaini mzuri mpka kipindi cha kwanza kimeisha ni jasho tupu.
2nd half ndio inakuja ile mkubwa mkubwa tu. Klopp akampeleka Diaz RW na alipamuda japo kwa jicho la haraka alistruggle na foot issues, kiasi kila alipopiga on target au kutoa pasi basi Klopp be like eishh why didnt i do early at first half? Ilibidi kumpongeza. Hii ilikuwa sawa na Salah kucheza LW, atacheza ila matumizi ya mguu ingekuwa shughuli nyingine.
Sikufikiri Diaz angeweza kuleta output as RW Kudos kwake. Baada ya Klopp kumrudisha Diaz RW akamuacha Nunez LW, akamtoa Gakpo na Macca akamuingiza Jota na Graven. Jota akaenda CF Elliot akarudi RCM Jones as 6 then Boom we started to open them and we scored two goals and won the game.
Jota with header. Jamaa has art of header shot. Ni mfupi ili kuwin aerial duel ku hit target kwenye opposition box he is something else. Classy timing.
Baadae Bradley na Clark wakaja kutia kifuniko na kufanya tubalance vizuri game plan yetu ya second half.
Hii mechi naifananisha na Villareal semi final game 2nd leg. Hii mechi 1st half tulibanwa mpka magoli 2nd half akaingia Diaz tukapindua.
Academy players so far ambao wana potential wakipata management nzuri
Bradley
Clark
Quansah
Bajcetic
YNWA
Trent Alexander Arnold is the best player in the world
Kuna ofa🙈🙈😂😂😂😂😂🔥🔥?? Kama ipo Klopp asiache kusikiliza inaweza kutupa nguvu sokoni kama ile pesa ya C10.Kuna watu walianza kusema auzwe
Mnajijua,siwataji.Kuna ofa[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91]?? Kama ipo Klopp asiache kusikiliza inaweza kutupa nguvu sokoni kama ile pesa ya C10.
YNWA