Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
Subiri uone home boy Gerrard anatua mazlma ndio utaelewa who's FSG Hahaha....Ujue selection ya kocha mpya ni ngumu sana kujua itakubali au lah.! Angalia Italy timu kubwa wamegeukia wachezaji wao wa zamani ambao bado hawajakwiva.
Kwa sasa kwenye ulimwengu wa mpira kuna makocha wachache sana wenye uwezo mkubwa
Pep
Klopp
Do Carlo
Hawa ndio top three ambao kuondoka kwao sio kuishiwa mbinu ni sababu zingine.
De zerbi tuseme labda bajeti yake ndogo na wamejiwekea standard ya kukuza na kuuza.
Alonso msimu wake wa kwanza mzima huu bado hajafanya vibaya, alikuja last season akaikuta timu mbovu akaishia ya sita last season.
Kama ni data nafikiri;
Nagelsmann
Alonso
Lijnder
De Zerbi watakuwa kwenye list ya FSG itategemea na Sporting director atakayekuja.
Kwa kua Klopp kashataganza sio siri tena hatakuwepo msimu mpya ni dhahiri sasa klabu ipo kwenye mchakato huu kutazama mridhi bora kabisa...
Nina imani na data generated search itatuweke salama kuliko kutumia hisia kuchukua Mwalimu...
Ama tushuke mazima kwa El Cholo🤣🤣
YNWA