Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sidhani hata sub atakuwepo. Najua Klopp atakaa nae na amuulize unaweza kucheza? Akikubali na ikiwa Klopp alimuweka kwenye homework yke vs Arsenal atacheza. Scenario kama hizo zimetokea na watu wakacheza.

Beckor alifiwa na baba yke akacheza 2021’
Klopp alibaki kwenye touchline kwenye msiba wa mama yke 2021’

Kipindi cha covid’

Watu wanasikitika kumkosa Bradley leo wanasahau Trent yupo, hofu yao ni art of defending ya trent, weakness inalazimisha wachezaji baadhi ya wachezaji kuongezewa majukumu

Konate (anacheza close to trent as 4)
Szobo (anacheza RHS).

Anyway kikubwa tushinde, hata akicheza adrian as RB.

YNWA
Leo mtashinda NJAA,mmetuzoea sana nyie
 
An excellent product in the making

His role pale mbele ni immense
Kabisa nakuabaliana Na wewe, Nunez hana shida yoyote, Ni Bahati tuu. 😂😂Ila kwakweli Kama ali hit the post 4 times and we still managed to score 4 goals against Chelsea. How many goal scoring opportunities did we create against a supposed big club like Chelsea. Chelsea need to really check their players and coaching system. It is more embarrassing for Chelsea than Nunez
 
Ila Klop akiondoka sijui itakuwaje... dah!

Jamaa linajua asee....
Babu ki ukweli kuodoka kwa Norbert K hapa tumekamatika ametutoa mbali sana na bado tunamhitaji sana tu,.. kufanya kazi na wale FSG ni mtihani sana huku unaekimbizanabizana nae amepewa blank cheki kuingia sokoni na Mansour...

Klopp bonge la ticha ukitazama namna anavyo vipaji tofauti klabuni utaona kwa nini FSG Novemba alivyotoa hii taarifa wenyewe walidhani kwa ahadi ya pesa zaidi Klopp atabakia klabuni...

YNWA
 
Walete Arse8🔥🔥🔥
 

Attachments

  • IMG-20240204-WA0011.jpg
    IMG-20240204-WA0011.jpg
    233.2 KB · Views: 6
Back
Top Bottom