For sure, I'm optimistic that Xabi won't turn down our offer, he's molding Leverkusen into a unique club with a Klopp like essence. Xabi embodies attributes similar to Klopp.
Mie ni miongoni mwa ninaomini Alonso anaweza kutupa makombe na utajiri wa soka zuri licha ya kukosa uzoefu pale EPL, every good coach has a begging its matter of potential.
Niliangalia interview ya Alonso ooh goshh nikaona yes huyu ndiye anaweza kuendeleza jahazi.
Alonso anakuwa ni kuhusu Space and Time, sio muumini sana wa mifumo, ila ubora wa wachezaji ndio unakupa ukitakacho na anajaribu kuona ubora wa mchezaji na autumie vipi kunufaisha timu.
Alonso anakuambia the more passes we give on the pitch of their half, the better the position will be for the gegenpressing. Utaona hapa kwa nini wanasema Alonso ni mixer ya Klopp na Pep. Pep ni muumini wa spaces na time ni muumini wa pass nyingi kwenye eneo la uwanja na hasa kwenye nusu ya mpinzani. Klopp ni muumini wa pressing sio pass nyingi, Xabi akamchukua pep na Klopp akapata mbinu yake. And of course makocha wengi wa sasa ni wanachukua ya huku na huku ana changanya anapata mbinu yake.
Alonso anakuambia ukianza kucheza kwa umbali (mchezaji na mchezaji) na kwa haraka sana, mtakuwa mpo mbali mbali sana kutoka mchezaji mmoja kwenda kwa mwingine na mistari inakuwa mbalimbali pia. (Yaani utakuta kuna gape toka kwa beki wa kati na wa pembeni kutoka kiungo na winga) hivyo Alonso anakuambia hamuwezi kucheza gegenpressing ipasavyo. Hii ndio falsafa ya Alonso
SPACES & TIME
Anaamini ukitumia nafasi sahihi kwa wakati sahihi ndio mpira wenyewe hii mifumo ni kama ramani tu inakusaidia kuendesha mbinu zako.
Alonso sio muumini wa majina makubwa ya wachezaji, anaamini katika uwezo wa mchezaji na sio jina.
Naamini ujio wake utashawishi kina Salah, Vvd na wengine kuongeza kandarasi.
Mf. Unampata Alonso na Edward as Sporting director, combination ya Klopp’s successor.
YNWA