Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji599] 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Virgil van Dijk confirms talks ongoing with Liverpool over his contract! [emoji837][emoji2399]

“Yes, talks are ongoing with the right people to discuss my new contract at Liverpool”, Virgil has told the media.

“When it’s time to make a decision, you will know it all”.

“But now my full commitment and full focus is only on Liverpool, to be successful this season all together”.
Mitano tena
 
LADDER1.png
 
Mo Salah aliigharimu Liverpool pauni milioni 34.3 tu alipojiunga akitokea AS Roma mwaka wa 2017.

Tangu wakati huo amefunga na kuhusika kwenye magoli 234 katika mechi 270 kwenye Premier League.

Ataingia kwenye historia kama mmoja wa wababe wa muda wote wa Premier League, bila shaka kuhusu hilo.
 
Back
Top Bottom