Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Let him win us EPL, CL then akiondoka atabaki kuwa our legend
Wewe shabiki wa nyumbu unatafuta imani huku ya nini 😂Kwahiyo tukuamin wewe au FabrizioView attachment 3186553
Akiwa Liverpool anashine
Umeona uwachomeshe wadau hadi usiku wa manane 😂Binti mdogo wa alfu2k naona unatumia muda wako vibaya dhidi yako,. Nitakurejea sio mbali,
Ynwa
Hatupo kumuongelea Halland sijui lowlandamelewa keki na pilau ya krisimasi.
Akitaka kujua EPL ngumu acheki msimamo wa ligi alipo Manchester City huku Hallaad akiwa mzima wa afya..
YNWA
TA anajitambua atatoa msimamo muda ukifika!
Kwani si hua mark up ya Nunez ni huyo Loland iwe je leo umkatae🤣🤣Hatupo kumuongelea Halland sijui lowland
Tunamuongelea mdogo wako kipenzi gwiji la kukosa magoli
Jones atamzidi magoli.
🤣🤣🤣[emoji81][emoji81] watu wa alfu mbili na hisia kwenye football
Huyu angeweza kutuaminisha Lovren ni beki bora duniani…
HapanaKwani si hua mark up ya Nunez ni huyo Loland iwe je leo umkatae🤣🤣
Nunez the great to come.. He brings so much more ma die hards wanaolipa viingilio wanamkumbali mnooo... Wewe keyboard fan 😂 ndio unamdisss
YNWA
.
Umeona uwachomeshe wadau hadi usiku wa manane [emoji23]
Hapana
Hiyo SI unit ni ya kwako wewe.
Mimi fan toka Nanjilinji
Kumidiss lazima maana jamaa ni chenga tu.. kama tu wewe fan kutoka Dsm ulivyokuwa unamdiss Hendo, wakati kuna mashabiki kindakindaki wanalipa kiingilio kwenda kumuona [emoji4]