Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwanza Jota is our most clinical finisher hivyo haitaji mechi dakika nyingi kifunga 2-3 chances basi ni 1/2 goals.

Pili Jota ni injury prone hivi land inconsistency player, namna ya kujaribu kumkinga na haya ni less mins. Kacheza mechi tatu goli mbili. Naweza kukubaliana na hili.


Ynwa
Hamna mchezaji ana akili kubwa golini kama jota
Sema ndio hivyo! Mungu hakupi vyote.
Mungu amemjaalia uwezo mkubwa ila mifupa inamkataa,Roho I radhi ila mwili
Njoo sasa Kwa Nunez/DiaZπŸ˜„
Miili Ina nguvu ila uwezo wa kutambua wapi nipige na iweje ndio ngumu.
 
IMG-20241230-WA0045.jpg
 
Even Trent star was born while playing in big game vs Manchester United akamzima Rashford then came Manchester City with Sane nae akazimwa well the rest ndio huyu hapa anaitamani sana Real... Hivyo huyu Quansah ni ishu la kujiamini tu maana kipaji kipo ishu ni kufuata mfumo na kujiamini rest will be history.

YNWA

Unfortunately Quansah Light switched off vs United ?? Heheh coincidence?? Unakumbuka ile pass fyongo aliitoa kwa Bruno last season, pale ndipo tulimpoteza Quansah he is not that guy again.

But I’m still rating him high, even though Bristol rovers’ fans walisema mchezaji wa kawaida (need to research kama ni kweli),
 
akiwa Liverpool hajachezeshwa pale CB,... huko Ujeremani alitumika sana CB na DM na kwa ufanisi mkubwa tu hivyo Slot kama atahitaji msaada pale asitZame mbali Endo yupo hapa.
Japo kama tungekua na matajiri waelewa ilikua kuingia sokoni tu maana inafahamika tangu kitambo Gomez na Konate ni pancha muda wowote hivyo wakati dogo Quansah anakomozwa muhimu watazame pia soko kama kuna mchezaji wa kununua CBR.

YNWA

Alicheza game moja as CB & Inverted DM akachukua MOTM, ilikuwa Carabao Cup vs S’ton.

Ynwa’
 
Nasema uongo ndugu zangu?
Yaani jamaa anajilazimisha tu kuongea kiswahili.. siyo pigo zake kabisa
Ndio utajua utofauti wa maisha πŸ˜„
Wakati kule Chelsea wanaongea kiswahili utadhani wapo kwenye vijiwe vya alkasusu.
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 Miss Liverpool is back

YNWA
 
Unfortunately Quansah Light switched off vs United ?? Heheh coincidence?? Unakumbuka ile pass fyongo aliitoa kwa Bruno last season, pale ndipo tulimpoteza Quansah he is not that guy again.

But I’m still rating him high, even though Bristol rovers’ fans walisema mchezaji wa kawaida (need to research kama ni kweli),
Boy has potential... Its takes loads of xcter to produce or shift that to the real games...
Aangalie graph ya Jones na Elliott ataona ana future kwa sasa awe na utulivu tu.
Hio ya Bristol sina taarifa zao.

YNWA
 
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 Miss Liverpool is back

YNWA
Sasa Bobby utajuaje kiswahili muda wote unakaa na watu wanaongea kizunguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Njoo mkoani huku Chanika, Manzese yaani mbona wiki tu ushakuwa expert.

Sema Mimi napenda sana English yako aisee
Siyo ya kuunga unga na super glue kama za wengine.
 
Sasa Bobby utajuaje kiswahili muda wote unakaa na watu wanaongea kizunguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Njoo mkoani huku Chanika, Manzese yaani mbona wiki tu ushakuwa expert.

Sema Mimi napenda sana English yako aisee
Siyo ya kuunga unga na super glue kama za wengine.
Hahaha Miss Liverpool mbona nipo uswazi aisee huko uzunguni wapeee.

Much appreciation sunshine.

Nashukuru sana kwa shout out mwaka 2024. Tumekua pamoja sana 😍 😍 😍 😍

YNWA
 
Hahaha Miss Liverpool mbona nipo uswazi aisee huko uzunguni wapeee.

Much appreciation sunshine.

Nashukuru sana kwa shout out mwaka 2024. Tumekua pamoja sana 😍 😍 😍 😍

YNWA
Wewe huyo?
Upo uswahilini? πŸ˜‚
Sitaki kuongea sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi nataka unifundishe kizungu angalau nifikie hata robo ya kiingereza chako.

Nitakufundisha kiswahili fasaha.
 
The MoNA hivi hii ni kweli au ni maneno ya mitandaoni tu?

Arne Slot ameamua kuweka kama utaratibu wa kumpa Jota dk 25 kila mechi na kwa sababu anaamini anaweza kuwa na mabao 10 katika mechi 15 na kumchezesha dk 25 pengine ndio njia pekee ya kumfanya awe fiti kwa msimu mzima.
Kama kweli nasimama na Slot kwenye huu mpango. Jota kwa kufunga yupo vzuri sana changamoto ni kukaa na uzima wake yani ni shinda sana.

Jota awe super sub tu inatosha.

YNWA
 
Wewe huyo?
Upo uswahilini? πŸ˜‚
Sitaki kuongea sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi nataka unifundishe kizungu angalau nifikie hata robo ya kiingereza chako.

Nitakufundisha kiswahili fasaha.
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 Mie ndio bhana kumbe nani.....
Uishie apo apo😎😎😎😎

Thanks ticha wa mie 😍

YNWA
 
Back
Top Bottom