Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh tangu kaanza kazi hata mwaka hana huyu hio likizo ya wapi 😂😂wakati anahitajika kama lead negotiater wa klabu awe kazin muda huu soko lipo wazi....Hivi ni kweli?
Captain Marvelous TIMING MosDef The MoNA
🚨 Club staff at Liverpool are frustrated by Richard Hughes' decision to take annual leave (in January) during the crucial opening weeks of the transfer window, citing concerns over the lack of activity in player signings.
Ameona mabosi hawaelewekiMmh tangu kaanza kazi hata mwaka hana huyu hio likizo ya wapi 😂😂wakati anahitajika kama lead negotiater wa klabu awe kazin muda huu soko lipo wazi....
Yaani dirisha mbili nzima 2024 kuanzia soko la January 2024 na June 2024 tumenunua Chiesa tu na tunasema tunautaka ubingwa, FSG ni jopo la wahuni fulani fulani...
YNWA
😂😂😂😂😂Edwards kamuuza jamaa yake Hughes kutoka Bono alipofanya kazi miaka 10 na kutua Liverpool ambapo anakua rubber stamp wa FSG 🤣🤣 mbona ataisoma namba sanaaa tu.Ameona mabosi hawaeleweki
£150m yupo sokoni. Kazi kwao Arsenal wanaolialia hawana strika tegemezi.
This means mfumo wetu umeshindwa kumu-accomodate Nunez kwa vile Salah ndiye main goal-scorer wetu, hivi ni kama vile Salah ndiye amezungukwa na wote.Kwenye technical side ya football, hakuna unachosimamia/opinions, ni kuna facts.
Kabla, hujatamani Mchezaji wa team nyingine, zingatia kwanza style of play/shape/structure ya team yako, na upime kama ata-fit right in, or NO.
Kuna TOFAUTI kubwa sana kati ya STRIKER na CENTRE FORWARD.
For the past 13-14 years, LFC imekuwa ni point/ground ya mafanikio kwa centre forwards, unaweza kuanzia kwa Torres, Suarez, Firmino, Jota, na kwa kipindi hichi tumekuwa na "Strikers" (pure number 9s) ambao wame-fail ku-deliver, unaweza kuanzia kwa Caroll, Balotelli, Borini, Lambert, Benteke & now Nunez (Origi can be a special case). ndiyo maana nikasema inaweza kuwa ni tradition/way of life at LFC.
NOW, for the past 8 years, our main goal scorer amekuwa ni Salah, meaning our main source of goals ni Salah, sasa hizo volume numbers za chances unazozungumzia, source/main benefitor wake ni Salah, hencs ili ku-mantain hiyo shape/structure, unahitaji a centre forward, sambamba na Salah, a forward who can move the pitch/pass/dribble/run with the ball/press/assist/drop deep etc (Firmino & now a fit Jota), huhitaji an OUT & OUT ST, because he will limit Salah's movements, na hivyo ku-limit our chance creation volumes, last 2 season we had to put Salah on the touch-line, ili kuruhusu space kwa Nunez, what happened? volume ya chances creation ilikuwaje? msimu huu Salah ana-post hizo numbers kwasababu ipi? Salah hachezi kwenye touch-line now, ni kama yule Salah wa kabla ya Nunez, na siyo kwamba Nunez ni m-baya, hapana, but hakuna kocha anaweza kupoteza/limit numbers za Salah kabisa kisa Nunez or any other ST.
Messi, alifanya kazi na Etoo, Villa & Suarez kwa ubora zaidi, but he struggled kiasi na Zlatan, why?
Main source ya goal at City, ni Haaland, what happens kama Salah akienda pale? maana Salah ana-post numbers kama za Haaland at LFC? unaweza kuwa na 2 main sources za goals? how can you channel your chances creation volumes? Salah akienda City itabidi a-sacrifice his goal- scoring volume, ili kuwa second feeder kwa Haaland, because attacking system ipo well structured around Haaland at City, Nunez alivyokuja LFC, japokuwa ni Out & out ST he was forced to surrender his box presence ili kuwa second feeder kwa Salah, na ili kuleta balance Salah had to be put in the touch-line ili kutengeneza an Out & out 3-man shape upfront, ambayo ili-limit game ya Salah, na ku-limit game ya Nunez, because aliyetakiwa kuwa feeder wa Nunez, ni Salah, but we couldnt afford to risk that kwasababu he's our MAIN goal-scorer, so we had to find ways ya ku-make that issue work, na experiment haikufanikiwa, it happens in football.
Cunha, atafanikiwa, because game yake ni kama ya Firmino/Jota, perfect CFs for Salah, Trent & our MF.
Duran, atafanikiwa, because he's not the "last" man kwenye attacking actions, (kama Origi).
Isak, ni main man, for him kuwa on top of his game, ni lazima structure yako ya mashambulizi iwe AROUND him, he's the MAIN man at Newcastle, at LFC kama Salah bado yupo, hawezi kuwa Main man, because hana numbers za kumzidi Salah, mpaka useme u-sacrifice game ya salah kwaajili yake, hivi ni vitu vidogo sana kuelewa.
Newcastle wanacheza game tofauti na LFC, na sisemi kuwa Isak hawezi kufanikiwa at LFC, but atafanikiwa, but you need wingers like Diaz alongside him, siyo monstrous goal-scorers kama Salah, its so easy kwa Diaz kuwa feeder wa Isak kwasababu he's not a goal-scoring winger, but ni ngumu sana kwa Salah kuwa feeder wa Isak, kwasababu kwa numbers Salah yupo kwenye sayari yake, so kama unamsajili Isak, uwe na plan in place, i dont know kama Club ilimsajili Nunez ikijua kuwa Salah is slowing down, or what, but they had to re-shape Nunez game ili aende na matakwa system and thats where it started to go wrong.
Club ilikuwa inamuangalia kwa ukaribu sana Marmoush, ni aina ya CF ambaye Slot anamtaka, i dont know kama ataenda City, but huyo ni moja ya forward club ilikuwa inamtazama, hii inakupa picha gani?
Isak ni world class ST, he's a £100m player, i agree, but with Salah at LFC, can he be the main man? and its funny huu msimu ndiyo ameanza ku-hit his top form, game yake ime-evolve a lot this season, numbers alizokuwa ana-post at Sociedad or kabla ya hapo kwenye his loan spells wakati yupo dortmund hazikuwa za kushtua, Newcastle had to take a gamble, £70m on a striker with 33 goals in 103+ outings ni gamble ambayo hakuna big club inge-take, now sample size yake at Newcastle ni 44+ goals in 65+ games hizo ni numbers za a world class ST, na ni kwasababu Howe ametengeza structure yake yote around him, na he's delivering, but kabla ya hapo, his numbers zilikuwa sawa/close na Nunez, maana ni same cloth, but Isak ame-evolve, Nunez ame-stuck, it happens in football.
Beauty of UK soccer pyramid.Hawa Accrington Stanley ni wa wapi hawa? Usikute ni wafanyakazi wa kiwanda cha ile kampuni kutengeneza tape measure, nyundo na vifaa vingine vya ujenzi.
Beauty of UK soccer pyramid.
Mara ya mwisho hawa Accrington tumekutana mwaka 1956🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️
Wamoo
YNWA
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ukute kocha ndio meneja wa kiwanda 😎😎 ama namna gani...Hawa kwanza utakuta hata hawawazi ushindi bali jinsi wanaona kama ni ndoto kukanyaga nyasi za Anfield na hawaamini macho yao.
Watu kutwa wanatengeneza vifaa vya ujenzi halafu weekend wanaitana wale wasio na majukumu mengi mengine kwenda kucheza na Liverpool. Kabla ya mechi washacheza sana Rock, Paper, Scissors kujua nani atachukua jezi ya Salah mwisho wa mechi.
pongezi kwa scout anaye wavumbua!
Poor writing use one languageInjuries can destroy msimu wa team/club yeyote ile, haijalishi coach/manager ni nani..
You cant win Big trophies, bila big players/world class players.
Leo hii akiumia VVD, our season will 100% collapse, (kabisa), and na siyo kuwa ni bora kuliko wenzie, but he's the most important pillar kwenye TEAM, na huwezi kulaumu Coach/manager for this.
Hatutaki wavuta bangi humu.Poor writing use one language