Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mnaoiogopa Arsenal nendeni mkaone mpira anaocheza huko.
Nawaambia as long as mpinzani wetu kwenye hili kombe ni Arsenal basi me nimeshajipa ubingwa.
Epl ina matokeo ya ajabu sana. Wish ingekua inachezwa mwaka mzima😂😂😂😂Maana ni burudani haswaaa.
Arsenal lose to confused Hammers, Liverpool lose to Nottingham Forest definitely not usual but hs happened

YNWA
 
Wamiliki wana nafasi yao ila kiukweli hawa wachezaji wetu wengi wameshaprove failure.

Sare ya 3-3 vs Newcastle
2-2 vs Everton
2-2 vs united
2-2 vs villa

Hizo ni sare ambazo tulikua kwenye wining position. Ukizichunguza hapo tatizo sio kina Nunez bali ni upande wa ulinzi huko


Ukiona wachezaji waandamizi wanekosa ubingwa zaidi ya mara mbili kwa point 1, kisha wakakosa tena wakiwa top huku zikibaki mechi 7 tuu ligi kuisha ujue hao hawana mentality tena ya kukupa ubingwa

Mikataba iishe tuu VVd asepe, TAA asepe, Robertson asepe, Allison aondeke abaki keheler, Nunez, Jota hawa waondoke wakubaki labda iwe Salah peke yake, huwezi kubaki na jeshi lile lile linalokufelisha kila siku pale wanapokaribia kupata ubingwa. Ni heri kuanza tuu upya

Gakpo
Macca
Grav
Szobo
Ibou

Hawa ndio wabaki tuwaone tena misimu miwili mitatu ijayo
Tupambane tuchukue ubingwa afu June 2025 wenye timu wataamua kama tuedelee kuishi kwa presha ama watampa Mwalimu anachokitaka ili kujenga kikosi cha kuzoa makombe.
Usajili utagusa kila eneo kasoro kwa makipa.

YNWA
 
Same old same old Liverpool troop.

When they score ni shangwe, when they are not doing what they are paid to do inakua kipengele haswaa.
🤣 🤣 🤣 Angalau June haipo mbali watazame upya msimu ujao wawe wapi.

YNWA

LFC ya Klopp, ilikusanya a lot of spoiled fans brother.

But, wanasema, mafanikio huwa yanakuja na mengi.
 
LFC ya Klopp, ilikusanya a lot of spoiled fans brother.

But, wanasema, mafanikio huwa yanakuja na mengi.
I heard the players were given 2 days off after Villa game. Mbona leo nawaona wamechoka choka ama ni mbinu😂😂.

Lets enjoy the game Ethad away always a cracker.

YNWA
 
Back
Top Bottom