Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, afadhali umerudi! Ule uamuzi wako ulinisikitisha sana... karibu sana mkuu, nimefurahi kuona comment yako hapa....Nilisema sitorudi hapa kuweka msg mpaka kama kweli LFC ikirudi nafasi ya NNE(4th) ila uvumilivu umenishinda hasa kuchungulia na kuona Comment ya Pepe akae Bench Reina akikaa Bench ndio tujitaarisha kupigwa nyingi na mtu kama Jones sio Kipa yule bora nidake mie Japo kweli Pepe anachemsha sana za kuumiza. LFC tatizo sio mabeki au vijikosa vya kipa Tatizo ilikuwa Striker Sasa tunao tatizo kubwa lipo Middle anayepiga kwanja na mwenye nguvu kama Yaya toure au Mousa Sissoko vile ili Joe Allen awe anachezesha pasi bila wasiwasi wa kufikiria kukaba na SG aanze kupumzika ukiwa na mtu kama Yaya Toure au Mousa Sissoko jua hata Beki zinafurahi. Coutinho sio Hard middle yule ni skillful wa nyuma ya striker au left wing.
WW ukilia mie naona nitafurahi hehehe manake naye ndio sababu hawaletwi majembe yenye kukata na kupasua kati pale hii timu ndio basi tena hata sijui nani ataiokoa tumebaki kuwa mashabiki sababu Roho inapenda Punainen-Red ndugu yangu upo wapi? Wachezaji vimwili vidogo speed hakuna hamu yakutaka kufunga hawana sijui wapewe VIAGRA?!.
huu msemo walijipatia kweli.....mana mnasindikizwa na magoli si mchezo.
Pazi;
Upo Best yangu? Hili la leo limenisononesha sana, Gerrad kukosa penati nikajua tu ingetugharimu kama ilivyokuwa!