Wana-Liverpool wenzangu huu sasa ni ugonjwa........naubatiza Jina la "self-esteemlessness".
Binafsi sikubaliani kabisa na mtizamo wa hapo juu kutokana na sababu hizi:
1) tayari tumeshacheza na Manure na tumemchapa. Why not hao wengine "wakubwa" ulowataja?
2) huyo unayemwita kibonde WBA alimchapa Manure (tena OT kabisa), huku sisi tukimchapa jana 4-1
3) misimu mingi huko nyuma Liverpool hupoteza points nyingi kwenye hii michezo ya mwanzoni mwa msimu. Msimu huu imekuwa tofauti...so, kwa nini tusiwe na optimism ya kufanya vizuri this season?
Mimi nina imani sana msimu tutafanya vizuri (sina uhakika na ubingwa though) iwapo:
1) pair ya SAS itakuwa injury-free kwa sehemu kubwa ya msimu. Vijana sasa hivi wako very hot!
2) Rodgers atamtumia zaidi Cotihno pale kati badala ya Henderson ili kuipa midfield yetu extra creativity. Kwa kweli mimi binafsi naungana na opinion ya Alex Ferguson kuhusu Henderson - he simply doesn't deserve to be in that red shirt!
3) mwezi January tutawauza Aspas na Henderson halafu ile bid yetu kwa Diego Costa iliyoshindwa last time sasa iwe re-submitted pale Athletico Madrid.
Tukifanikiwa hiyo ya 3 hapo juu, hata ubingwa tunaweza kuanza kuuota for once!