Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Teh Teh Teh Teh

Kwani goli alifunga mchezaji gani vile Wa Crystal Palace?!!! Teh Teh Teh! Crystal Palace were gifted the goal by John Terry! Teh Teh Teh Teh Teh

Ebu angalia raha ligi msimu huu! Wale Gunners wanagombania nafasi ya kucheza UCL next season na Everton baada ya kuongoza ligi kwa Muda mrefu sn! Teh Teh Teh Teh!

Hahahahahahahahahahahah...Ntuzu,umenichekesha sana Aiseee..
 
Mtu anaeniumiza kichwa katka mbio za ubingwa, lazima aniumize kichwa, asa si nitakuwa mjinga kama nkiumiza kichwa kuhusu team kama chelsea..



Kwi Kwi Kwi Kwi

Mkuu huumizi kichwa kwa timu kiboko yenu!!! Nafurahi sn warahi!
 
Mkuu ntuzu inaelekea adui yko mnaegobea nae namba mbili bado haujamfahamu...wew vita yako ipo kwa man city mnagombea namba mbili..
 
Kwi Kwi Kwi Kwi

Mkuu huumizi kichwa kwa timu kiboko yenu!!! Nafurahi sn warahi!

Kama we kiboko yangu kwasababu tu, umenifunga mara ya kwanza, bas hata crystal palace ni kiboko yako kwa sababu alikufunga juzi juzi tu hapa..
 
Teh Teh Teh Teh

Kwani goli alifunga mchezaji gani vile Wa Crystal Palace?!!! Teh Teh Teh! Crystal Palace were gifted the goal by John Terry! Teh Teh Teh Teh Teh

Ebu angalia raha ligi msimu huu! Wale Gunners wanagombania nafasi ya kucheza UCL next season na Everton baada ya kuongoza ligi kwa Muda mrefu sn! Teh Teh Teh Teh!
Ni kma nyie mnavogombea namba mbili na man city...
 
Mkuu ntuzu inaelekea adui yko mnaegobea nae namba mbili bado haujamfahamu...wew vita yako ipo kwa man city mnagombea namba mbili..


Ivi wewe km nikijufunga hiyo 27 utakua bado unaongoza? Kwanza maliza kz na Big Sam Leo then na Man City! Chelsea ni kitu ingine ati!
 
Kama we kiboko yangu kwasababu tu, umenifunga mara ya kwanza, bas hata crystal palace ni kiboko yako kwa sababu alikufunga juzi juzi tu hapa..


I've said! CP were gifted the goal by JT! Kwahiyo sio kiboko yetu!
 
Liverpool wakichukua dis year mpaka miaka 50 ijao


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mimi wewe Liverpool Ndio nataka nkushughulikie kwasababu bado niko na biashara na wewe! Nakushangaa unavyonibeza!

Me naCompete na team ambayo unategemea matokeo yake kuchukua ubingwa (man city), sicompete na team inayotegemea matokeo ya Team zingne ili kuchukua ubingwa..
 
Me naCompete na team ambayo unategemea matokeo yake kuchukua ubingwa (man city), sicompete na team inayotegemea matokeo ya Team zingne ili kuchukua ubingwa..


Mfano Leo ukishinda, utakua unaongoza ligi kwa point ngapi?
 
Back
Top Bottom