Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh Teh Teh Teh
Mkuu agosti 8 big up sn Mkuu!
Naona unapambana na hao Liverpool
Du mwanangu leo nilikua Ktk mambo ya habari njema! Lkn tuko Pamoja!
Hawa wanapiga kelele tu Lkn ukweli wanaufahamu!
Jose mbinu yake kuu ni kupaki basi tu...!
Brendan ni kichwa kile acha kabisa...JM angekuwa kichwa kwa depth mliyonayo mpaka saizi gemu 5 zimebaki mngekuwa mshatangaza ubingwa mkuu.
José kaishiwa kabaki kubwabwaja tu...BR ndo kichwa pale EPL kwa sasa! Chukua hiyo...
Hahahaha! Nimecheka kweli kwamba domo la kizaramo mbinu zake kuu ni kupaki bus!!
Una umri gani Mkuu?
ngoja leo ipite, na terh 27 ipite halafu rudi uliza tena swali lako
Kabisa!
Kuna article moja niliisoma toka ESPN waliongelea kuhusu BR kama student wa JM...basi wakasema anachofanya BR ni exact opposite ya mwalimu wake kuanzia nurturing ya wachezaji, mbinu za uchezaji na behaviour!
Take a look at José afu umuangalie na Brendan then assume haya mafanikio angekuwa kayapata yeye kwa kutumia bajeti ndogo na wachezaji wa kawaida kama hawa!
Hapo angeongea Dunia nzima wangemsikia...in short currently BR ndo kocha bora EPL.
ngoja leo ipite, na terh 27 ipite halafu rudi uliza tena swali lako
ukwel upi Ntuzu???
Tuambieni hapa msimu huu kati ya Liverpool na Chelshit ni ipi team bora???
hahahaha, dah, hapa mpira wa maneno kama ilivyo kwa mzee wa domo chelshit, leo atalivuta domo balaa, hahahahaTeh Teh Teh Teh
Haka kathread tumekaamsha kweli! Sasa mko moto!
Teh Teh Teh
Raha sn!
Leo hii hapo baadae utasema mwenyewe Kua Chelsea ni noma!
Na ameshaanza kujihami eti Ooooh Liver ina nafasi sababu haichezi CL, na watu pasipo kufikiri wanakubaliana na kauli yake wakati mwenzao anajitetea mapema ili ikitokea ajabeba kombe Mrusi asimtimue....mi natamani nimuulize 1. Mwaka Jana Liver haikua na nafasi ya kuchukua EPL Je ilikua inacheza UCL?? 2. Kama kutokucheza CL ndio sababu Kwanini isiwe Tottenham ama Everton zikawa na nafasi maana zote mwaka huu hazichezi CL?? 4. Je team ngapi Ulaya zinabeba ndoo za nyumbani na ya CL at the same time..........Ebu aache porojo akubali mwaka huu LFC tuko HOT!!Mwisho kama anaona CL inampunguzia nafasi ya kubeba EPL nxt year ajitoe CL ili agombee EPL tu. "You w'll never Walk Alone"
hahahaha, dah, hapa mpira wa maneno kama ilivyo kwa mzee wa domo chelshit, leo atalivuta domo balaa, hahahaha
Bora kivp Mkuu!?
Na ameshaanza kujihami eti Ooooh Liver ina nafasi sababu haichezi CL, na watu pasipo kufikiri wanakubaliana na kauli yake wakati mwenzao anajitetea mapema ili ikitokea ajabeba kombe Mrusi asimtimue....mi natamani nimuulize 1. Mwaka Jana Liver haikua na nafasi ya kuchukua EPL Je ilikua inacheza UCL?? 2. Kama kutokucheza CL ndio sababu Kwanini isiwe Tottenham ama Everton zikawa na nafasi maana zote mwaka huu hazichezi CL?? 4. Je team ngapi Ulaya zinabeba ndoo za nyumbani na ya CL at the same time..........Ebu aache porojo akubali mwaka huu LFC tuko HOT!!Mwisho kama anaona CL inampunguzia nafasi ya kubeba EPL nxt year ajitoe CL ili agombee EPL tu. "You w'll never Walk Alone"
kwani ubora wa kitu huwa unakuwa determined kivip???
Kwani sio kweli?
Kushiriki mashindano mengi kunawafanya wachezaji wachoke!
Mrusi hawezi kumfanya lolote Jose na ndo Maana kamrudisha kwasababu Jose ni kocha bora!
Mkuu ebu jibu swali hili, Why not Everton ama Tottenham wenye kikosi ghali EPL,maana wao nao hawachezi UCL, kwanini wasiwe na nafasi wao??Jibu analo kua msimu huu Liverpool wako kivingine sio Excuse za zake.
Swala la Jose kua kocha bora ni kauli za wasioufahamu mpira, Ubora wa Jose mpe ela anunue majina makubwa na si kingine, amini usiamini hii Liverpool angekua nayo Jose hata top 10 asingeingia
Nina swali kwako! Ivi Liverpool Ktk timu kumi zenye kuongaza kifwedha iko nafasi ya ngapi?
Na Je ni sahihi kuilinganisha na Everton na liverpool?
Jose alipokua Fc Porto alikua na timu yenye uwezo mkuubwa kifedha km Chelsea, Internazionale au Madrid? Na Je Kwanini alifanya Vzr na kina Deco, McCathy na Tiago ambao walikua wachezaji wadogo sn tena wasio na majina km walivyokua wakati ule kina Gaucho, Seedorf, Kaka na Viera etc?
Msiwe mnaongea tu! Ubora Wa Jose duo kwa Chelsea tu au Madrid au Internazionale!