Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,325
Nina swali kwako! Ivi Liverpool Ktk timu kumi zenye kuongaza kifwedha iko nafasi ya ngapi?
Na Je ni sahihi kuilinganisha na Everton na liverpool?
Jose alipokua Fc Porto alikua na timu yenye uwezo mkuubwa kifedha km Chelsea, Internazionale au Madrid? Na Je Kwanini alifanya Vzr na kina Deco, McCathy na Tiago ambao walikua wachezaji wadogo sn tena wasio na majina km walivyokua wakati ule kina Gaucho, Seedorf, Kaka na Viera etc?
Msiwe mnaongea tu! Ubora Wa Jose duo kwa Chelsea tu au Madrid au Internazionale!
José wa Porto FC alikuwa bora sana ila c huyu wa sasa...kumbuka tunaongelea SASA na c miaka 10 iliyopita!
Currently BR z the man...na kuthibitisha hilo utaona mwisho wa msimu atakapotangazwa kuwa kocha bora wa EPL.
YNWA...!