Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hangaika na dunia wewe
Nakubaliana nawe ila kukuweka sawa ni kwamba watani wakubwa wa jadi uingereza ni Moyez na Rogerz, fuatili historia vizuri. Naomba kuwasilisha.
Stooge huyu choyo namba 1....
Liverpool ilitokea kwa Everton, at that time kuna mtu mmoja alitaka Liver iwe kampuni mwenzake akakataa hapo ndipo Liver ilipotokea coz jamaa anayetaka kampuni akahama na mashabiki wakamfuata wakwambia 'u'll never walk alone' tuko na wewe
City 2 liva 2
Liverpool ilitokea kwa Everton, at that time kuna mtu mmoja alitaka Liver iwe kampuni mwenzake akakataa hapo ndipo Liver ilipotokea coz jamaa anayetaka kampuni akahama na mashabiki wakamfuata wakwambia 'u'll never walk alone' tuko na wewe
Nashangaa hawa mashabiki maandazi wa loserfools wanasema nina chuki binafsi, wakati nimewasifia.
Kocha wao msimu huu amekuwa mzuri sana, tofauti na msimu jana...hili ni fundisho kwa wale Moyes' haters...give the man a season to learn, and then start throwing jabs and uppercuts to him the second season...
Huyo Gerrard, nimewaheshimu tu...ndio maana SAF alisema hajawahi kumwona Gerrard kama mchezaji mzuri...na ana uchu na EPL huyo...akilikosa msimu huu, ndio imekula kwake!