Baba Kelvin
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 788
- 139
We ulitegemea nitoe moani km ya kwako Mkuu?
Mi sifanyi kz ya uchambuzi kwamba nisiweke mapenzi Ktk timu yng! Isitoshe hao wachambuzi Wa ulaya au Uk hayo nayo ni maoni Yao na Mimi ni maoni Yangu! Km ikija tokea kutokana na msimamo Wa ligi ulivyo sasaivi Chelsea ikawa bingwa Wewe utashika maoni gani ya hao wachambuzi au ya kwangu?
Naelewa Vzr kuchambua soccer Ktk uhalisia kwa timu zote au kutokana na msimamo Wa ligi jinsi ulivyo Lkn tunapishana sehemu ndogo tu na nyie pale mnapoitoa Chelsea Ktk huo ushindani na wakati km tukiwafunga ndoto za ubingwa zinapotea kabisa! Chelsea uwezo Wa kushinda anfield anao sn tu tena mkubwa tu!
Ktk uchambuzi wako ata km Unasema Kua Wewe ni mpenzi Wa soccer usizungumzie Liverpool tu na man city wakati chelsea ana uwezo Wa kufanya mapinduzi tarehe 27 na mkawa nafasi ya 3.
Mkuu una mahaba niue wewe. Assume mechi zote ulizobakiza ukashinda na man city mechi zote alizobakiza akashinda nani anachukua tittle hapo!!?