Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Muone na huyu nae. Kama umeanza kuangalia mpira leo ni bora ukae kimya.Mm sijawahi ona offside mpira unapigwa ukiwa chini. Lazima uweke mpira chini, nikama vile fouls mpira lazima uwe kwenye pitch.
Sent using Jamii Forums mobile app
Goli kipa akitoka hakuna off sideNimeamini Liver inabebwa goli la Salah dakika ya majeruhi offside ya wazi kabisa.
Ngusero
Mnawaona wanaojua mpira hawa. Haya nyie wengine mnaobisha bakieni na uboya wenu
Muone na huyu nae. Kama umeanza kuangalia mpira leo ni bora ukae kimya.
Unataka tuanze kufundishana maana ya ADVANTAGE kwenye mpira.
Nimeamini Liver inabebwa goli la Salah dakika ya majeruhi offside ya wazi kabisa.
Ngusero
Ndio mkuu
Wewe ndo shabiki pekee wa man u mwenye akili wengine wote ni manyumbuRefa ka waive on kwasababu kipa kadaka. Hakukuwa na sababu ya kupoteza muda. Sio lazima mpira usimame ni sawa na 'adhantage' kwenye foul play. Attacking team inapewa advantage ikitokea.
Okay fanya moja bilaRefa kachemsha mata alikuwa offside mpira ulitakiwa uwekwe chini.
πππππ
kwanza huyu jamaa ilibidi aachwe na uzi wake, mwanaume unakuaje hujui sheria za mpira tena za kawaida kabisa, yani hata hiyo VAR haikujiangaisha kucheki hilo goli.. MMU inawaharibu aisee
NomaKrismas walisema 44,000 unacheki EPL ..... Sijajua kama ofa inaendelea ila hata kama itakuwa imeisha watakuwa wamepandisha kidogo tu
Pale aliyeua offside ni salah mwenyewe kwa kitendo cha kutokuvuka nusu ya uwanja kabla mpira haujapigwaUna walau ABC za uamuzi wa mpira wa miguu? De Gea alikuwa wapi mpira ulipopigwa na A.Becker? Usitafute presha ya bure.
Haha noma kisaNoma
Uwe unauliza ili kuficha up.umbavu.Nimeamini Liver inabebwa goli la Salah dakika ya majeruhi offside ya wazi kabisa.
Ngusero
Bei ipo kwa juu Sana kiongoziHaha noma kisa